Posts

Showing posts from April, 2015

YAMOTO BENDI KUWASHA MOTO MLANDIZI MEI MOSI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/29/2015 7:59:06 PM BENDI ya Yamoto inatarajiwa kutoa burudani kwenye mkesha wa siku ya wafanyakazi Duniani Mei Mosi Aprili 30 mwaka huu kwenye ukumbi wa Container Bar Mlandizi wilayani Kibaha mkoani Pwani. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa baa hiyo Frank Mwalembwe alisema kuwa bendi hiyo katika kupamba burudani hiyo itasindikizwa na msanii wa kizazi Kipya Tunda Man ili kuwapa burudani wakazi wa wilaya hiyo na maeneo jirani. Mwalembwe amesema kuwa lengo la kutoa burudani hiyo ni kuwaandaa wafanyakazi katika sherehe yao ambayo inafanyika kila mwaka ambapo kimkoa itafanyika wilayani Mafia. Amesema BW. MWALEMBE Burudani hiyo itakuwa ni nzuri kwa wakazi hao ambapo pia tutaishirikisha bendi ya JKT Ruvu kwa lengo la kutoa burudani hiyo ambayo itakuwa ya aina yake kwa wakazi wa Mji wa Mlandizi na vitongoji vyake na vile vya jirani. Amesema kuwa mbali ya wasanii hao pia kutakuwa na waimbaji chipukizi wa mkoa wa Pwani nao watapata fursa ya kuonyesha um

YAMOTO BENDI KUWASHA MOTO MLANDIZI MEI MOSI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/29/2015 7:59:06 PM BENDI ya Yamoto inatarajiwa kutoa burudani kwenye mkesha wa siku ya wafanyakazi Duniani Mei Mosi Aprili 30 mwaka huu kwenye ukumbi wa Container Bar Mlandizi wilayani Kibaha mkoani Pwani. Kwa mujibu wa mkurugenzi wa baa hiyo Frank Mwalembwe alisema kuwa bendi hiyo katika kupamba burudani hiyo itasindikizwa na msanii wa kizazi Kipya Tunda Man ili kuwapa burudani wakazi wa wilaya hiyo na maeneo jirani. Mwalembwe amesema kuwa lengo la kutoa burudani hiyo ni kuwaandaa wafanyakazi katika sherehe yao ambayo inafanyika kila mwaka ambapo kimkoa itafanyika wilayani Mafia. Amesema BW. MWALEMBE Burudani hiyo itakuwa ni nzuri kwa wakazi hao ambapo pia tutaishirikisha bendi ya JKT Ruvu kwa lengo la kutoa burudani hiyo ambayo itakuwa ya aina yake kwa wakazi wa Mji wa Mlandizi na vitongoji vyake na vile vya jirani. Amesema kuwa mbali ya wasanii hao pia kutakuwa na waimbaji chipukizi wa mkoa wa Pwani nao watapata fursa ya kuonyesha um

VIDEO-MEI MOSI PWANI MAMBO MSWANO

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/28/2015 9:13:45 PM Kamati ya maandalizi ya sikukuu ya MEI MOSI katika mkoa wa Pwani imendelea kuhakikisha shere hizo zinafana mkoani hapa ambapo kimkoa zinafanyika wilayani Mafia. Mwenyekiti wa TUCTA mkoa wa Pwani, BW.PAUL MSILU amesema mpaka sasa wenzao walio katika wilaya mwenyeji wameletea mchango na waao wanaendelea kuchangia ili kuweza kufanikisha sherehe hizo zinazotoa fursa kwa wafanyakazi bora kupatiwa tuzo katika suala zima la kujenga ari ya uwajibikaji. BW. MSILU amebainisha kuwa katika maandalizi ya sherehe hiyo wamekuwa wakikabiliwa na changamoto wa ufinyu wa michango, lakini hata hivyo jitihada zinaendelea katika kuhakikisha sherehe hizo zinafanikiwa. Naye mjumbe wa kamati ya maandalizi Kaimu Katibu wa  CHODAWU, BW.AMIN MSHANGA amesema kwa upande wao wamejiandaa vizuri na kitu wanachoomba waajiri kuchukua hatua ya kuwasafirisha wafanyakazi katika kuwawezesha kuhudhuria sherehe hizo. BW. MSHANGA ameongeza kuwa katika wilaya

MAANDALIZI YA MEI MOSI PWANI YANAENDELEA VIZURI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/28/2015 9:13:45 PM Kamati ya maandalizi ya sikukuu ya MEI MOSI katika mkoa wa Pwani imendelea kuhakikisha shere hizo zinafana mkoani hapa ambapo kimkoa zinafanyika wilayani Mafia. Mwenyekiti wa TUCTA mkoa wa Pwani, BW.PAUL MSILU amesema mpaka sasa wenzao walio katika wilaya mwenyeji wameletea mchango na waao wanaendelea kuchangia ili kuweza kufanikisha sherehe hizo zinazotoa fursa kwa wafanyakazi bora kupatiwa tuzo katika suala zima la kujenga ari ya uwajibikaji. BW. MSILU amebainisha kuwa katika maandalizi ya sherehe hiyo wamekuwa wakikabiliwa na changamoto wa ufinyu wa michango, lakini hata hivyo jitihada zinaendelea katika kuhakikisha sherehe hizo zinafanikiwa. Naye mjumbe wa kamati ya maandalizi Kaimu Katibu wa  CHODAWU, BW.AMIN MSHANGA amesema kwa upande wao wamejiandaa vizuri na kitu wanachoomba waajiri kuchukua hatua ya kuwasafirisha wafanyakazi katika kuwawezesha kuhudhuria sherehe hizo. BW. MSHANGA ameongeza kuwa katika wilaya M

VIDEO-MCHANGE ANYEMELEA KIBAHA MJINI.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/26/2015 8:44:42 PM Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha ACT-ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY, BW. HABIB MCHANGE  amewataka Watanzania kukiunga mkono Chama hicho Kichanga ili kuweza kuwatoa katika lindi la umaskini unaowakabili. Mjumbe huyo wa Kamati kuu ya ACT, BW.MCHANGE amesema kuwa chama hicho ni  chama chenye lengo la kuwakomboa wananchi wa kawaida ikiwza pamoja na kuwapatia fursa  watu wa kawaida kuweza kuwa viongozi. BW.MCHANGE amefafanua kwamba muundo wa Chama hicho umelenga kutoa nafasi kwa watoto wa makabwela kwa kupanga safu ya sura mpya kabisa katika masuala tofauti na ilivyozoeleka katika vyama vingine vya siasa kwa viongozi kurithisha madaraka bila kujali uwezo wa mrithi. Naye katibu wa ACT, BW.MRISHO SWAGALA amefafanua kuwa Chama hicho kichanga kina nia ya kweli ya kumkomboa Mtanzania na kwa kuanzia amewataka kinamama kujiunga katika vikundi ili waweze kukopeshwa na kuzisaidia familia zao na sera yao kubwa ni siasa za ujam

MASHINDANO YA KOMBE LA KOKA YAANZA.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/26/2015 10:13:32 PM Mashindano ya kombe la KOKA CUP yamezinduliwa rasmi na Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini, SILVESTRY KOKA katika viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha kwa kuwaasa vijana kushiriki katika michezo ili kuwa wakakamavu. KOKA amesema kuwa suala la vijan kushiriki michezo ni suala la msingi na hivyo amewataka vijana hao kutmia mashindano hayo ya mpira wa miguu kuendeleza vipaji vyao na hasa ikizingatiwa michezo ni burudani na ajira. Aidha ameongeza kuwa mashindano hayo ni jitihada ya kuenzi michezo ili kuwa na wachezaji mahiri ambao watakwenda kuunda timu ya Jimbo ambayo itapatikana kwa kuchagua wachezaji wenye uwezo wa kusakata kabumbu ili kujenga timu bora ambayo itakuwa mfano. END.

ACT-YAANZA VIKAO VYA MKAKATI PWANI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/26/2015 8:44:42 PM Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha ACT-ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY, BW. HABIB MCHANGE  amewataka Watanzania kukiunga mkono Chama hicho Kichanga ili kuweza kuwatoa katika lindi la umaskini unaowakabili. Mjumbe huyo wa Kamati kuu ya ACT, BW.MCHANGE amesema kuwa chama hicho ni  chama chenye lengo la kuwakomboa wananchi wa kawaida ikiwza pamoja na kuwapatia fursa  watu wa kawaida kuweza kuwa viongozi. BW.MCHANGE amefafanua kwamba muundo wa Chama hicho umelenga kutoa nafasi kwa watoto wa makabwela kwa kupanga safu ya sura mpya kabisa katika masuala tofauti na ilivyozoeleka katika vyama vingine vya siasa kwa viongozi kurithisha madaraka bila kujali uwezo wa mrithi. Naye katibu wa ACT, BW.MRISHO SWAGALA amefafanua kuwa Chama hicho kichanga kina nia ya kweli ya kumkomboa Mtanzania na kwa kuanzia amewataka kinamama kujiunga katika vikundi ili waweze kukopeshwa na kuzisaidia familia zao na sera yao kubwa ni siasa za ujamaa kat

VIDEO - CWT WACHAGUANA PWANI.

Image
Ben Komba /Pwani-Tanzania/4/25/2015 11:28:27 PM Chama cha Walimu mkoa wa Pwani Kimefanya uchaguzi wake mkuu wa kuchagua viongozi watakawaongoza katika kipindi kijacho cha uongozi katika uchaguzi uliofanyika mjini Kibaha. Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake  K atibu wa CWT mkoa wa Pwani, BW.NEHEMIAH JOSEPH amesema uchaguzi huo ulikuwa huru na haki na wajumbe wamefanikiwa kutumia nafasi kuwapata viongozi ambao watawaongoza teanaa katika kipindi cha miaka mitano ijayo. BW.NAHEMIAH amewataja washindi katika nafasi ya Mwenyekiti wa CWT mkoa wa Pwani imechukuliwa na BW.JOHN KIRUMBI waakati BI.STELLA KIYABO amepata na ujumbe a kamati ya utendaji ya CWT, nafasi ya mweka hazina ikichukuliwa na BW.ABOUBAKAR ALAWI. Nafasi Nyingine Zilizogombaniwa Katika uchaguzi huo kwa mujibu wa Katibu wa CWT mkoa wa Pwaani BW. NEHEMIAH JOSEPH ni pamoja na mjumbe atakayewakilisha CWT,Baraza la TUCTA ambapo BW.RAJAB NGAMBAGE alishinda na upande  mwakilishi katika mkutano mkuu

CWT PWANI WACHAGUANA.

Ben Komba /Pwani-Tanzania/4/25/2015 11:28:27 PM Chama cha Walimu mkoa wa Pwani Kimefanya uchaguzi wake mkuu wa kuchagua viongozi watakawaongoza katika kipindi kijacho cha uongozi katika uchaguzi uliofanyika mjini Kibaha. Akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake  K atibu wa CWT mkoa wa Pwani, BW.NEHEMIAH JOSEPH amesema uchaguzi huo ulikuwa huru na haki na wajumbe wamefanikiwa kutumia nafasi kuwapata viongozi ambao watawaongoza teanaa katika kipindi cha miaka mitano ijayo. BW.NAHEMIAH anewataja washindi katika nafasi ya Mwenyekiti wa CWT mkoa wa Pwani imechukuliwa na BW.JOHN KIRUMBI waakati BI.STELLE KIYABO amepata na ujumbe a kamati ya utendaji ya CWT, nafasi ya mweka hazina ikichukuliwa na BW.ABOUBAKAR ALAWI. Nafasi Nyingine Zilizogombaniwa Katika uchaguzi huo kwa mujibu wa Kaatibu wa CWT mkoa wa Pwaani BW. NEHEMIAH JOSEPH ni pamoja na mjumbe atakayewakilisha CWT,Baraza la TUCTA ambapo BW.RAJAB NGAMBAGE alishinda na upande  mwakilishi katika mkutano mkuu wa TU

VIDEO-ZOEZI LA CHANJO KWA WATOTO LAANZA RASMI MJINI KIBAHA.

Image
  Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/24/2015 8:16:16 PM Halmashauri ya mji wa Kibaha imeanza utoaji wa chanjo kwa watoto kwa ajili ya kinga ya magonjwa sumbufu kwa watoto katika kuhakikisha  vifo vya watoto wadogo vinapungua kwa kiasi kikubwa. Msimamizi wa huduma ya Mama, Baba na mtoto, BI.JANEROSE JOHN amesema kuwa lengo la chanjo hiyo ni mpagoa kitaifa wa utoaji wa chanjo kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano katika kupunguza uwezekano wa  kuzui magonjwa yanayoweza kupata kinga. BI.JOHN ameongeza magonjwa yanayoweza kukingwa na chanjo hiyo ni kifua kikuu,kuharisha,Polio,donda koo, kupooza, kifaduro na kichomi, na amesema lengo la chanjo hiyto ni kutaka kuhakikisha kizazi kijavcho kinakuwa hakisumbuliwi na magonjwa hayo. Aidha ameongeza kuwa wamekuwa wakikabiuliwa na mzigo mkubwa wa wateja kulinganisha na watum ishi waliopo  kutokana na kuwepo na mwingilianao na Mkoa wa Dar es saalam  na kutaka jamii ielewe wanapoona kuna msongamano wa watu kwani ni njke ya uwezo ku

CHANJO YATOLEWA KWA WATOTO MJINI KIBAHA

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/24/2015 8:16:16 PM Halmashauri ya mji wa Kibaha imeanza utoaji wa chanjo kwa watoto kwa ajili ya kinga ya magonjwa sumbufu kwa watoto katika kuhakikisha  vifo vya watoto wadogo vinapungua kwa kiasi kikubwa. Msimamizi wa huduma ya Mama, Baba na mtoto, BI.JANEROSE JOHN amesema kuwa lengo la chanjo hiyo ni mpagoa kitaifa wa utoaji wa chanjo kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano katika kupunguza uwezekano wa  kuzui magonjwa yanayoweza kupata kinga. BI.JOHN ameongeza magonjwa yanayoweza kukingwa na chanjo hiyo ni kifua kikuu,kuharisha,Polio,donda koo, kupooza, kifaduro na kichomi, na amesema lengo la chanjo hiyto ni kutaka kuhakikisha kizazi kijavcho kinakuwa hakisumbuliwi na magonjwa hayo. Aidha ameongeza kuwa wamekuwa wakikabiuliwa na mzigo mkubwa wa wateja kulinganisha na watum ishi waliopo  kutokana na kuwepo na mwingilianao na Mkoa wa Dar es saalam  na kutaka jamii ielewe wanapoona kuna msongamano wa watu kwani ni njke ya uwezo kutoka

VIDEO-SERIKALI YATAKIWA KUHESHIMU TIBA ASILIA.

Image
Ben Komba Pwani-Tanzania/4/22/2015 7:16:17 PM Serikali imetakiwa kutoa kipaumbele kwa waganga wa tiba za jadi katika suala zima la kupambana na magonjwa sugu ambayo yanakosa tiba siku hadi siku wakati kuna dawa za jadi zenye kuweza kupambana na magonjwa hayo. Mganga BW.ABDALLAH ATHUMAN MPEMBENWE anayefanya shughuli zake katika kijiji cha Kitonga wilayani Bagamoyo amesema Tiba za jadi zikipewa kipaumbele na serikali na kuaachana na dhana waliyokuja nayo wakolono kuwa kila kitu cha mtu mweusi ni cha Kishenzi na kufanikiwa kuua kwa kiasi kikubwa sayansi ya tiba za asili. BW.MPEMBENWE amebainisha kuwa magonjwa kama upofu wa mtu kutoona toka kuzaliwa au kukoma kuona ghafla kwake yeye si tatizo, kwani mpaka sasa kashatoa tiba kwa wagonjwa mbalimbali na wengine kushuhudiwa na mwandishi wa Habari hizi. Hivyo ameitaka serikali kutupia macho bila kusita upande wa tiba asilia ili nkuweza kuwa na Taifa la Watu wenye afya na wakakamavu ambao wataweza kulitumikia Taifa lao kwa mafani

NYUMBA YA KISASA INAUZWA

Image
NYUMBA HII INAUZWA IPO ENEO LA MAPINGA BAGAMOYO KUNA ENEO EKA 2 NA VISIMA VIMECHIMBWA NDANI YA ENEO HILO,NYUMBA IMEKAMILIKA NA YA KISASA IPO KATIKA BEACH YA BAHARI YA HINDI BEI:MILIONI 300 CONTACT: 0716834203-0654939974

SERIKALI YATAKIWA KUTOA KIPAUMBELE TIBA ASILIA.

Ben Komba Pwani-Tanzania/4/22/2015 7:16:17 PM Serikali imetakiwa kutoa kipaumbele kwa waganga wa tiba za jadi katika suala zima la kupambana na magonjwa sugu ambayo yanakosa tiba siku hadi siku wakati kuna dawa za jadi zenye kuweza kupambana na magonjwa hayo. Mganga BW.ABDALLAH ATHUMAN MPEMBENWE anayefanya shughuli zake katika kijiji cha Kitonga wilayani Bagamoyo amesema Tiba za jadi zikipewa kipaumbele na serikali na kuaachana na dhana waliyokuja nayo wakolono kuwa kila kitu cha mtu mweusi ni cha Kishenzi na kufanikiwa kuua kwa kiasi kikubwa sayansi ya tiba za asili. BW.MPEMBENWE amebainisha kuwa magonjwa kama upofu wa mtu kutoona toka kuzaliwa au kukoma kuona ghafla kwake yeye si tatizo, kwani mpaka sasa kashatoa tiba kwa wagonjwa mbalimbali na wengine kushuhudiwa na mwandishi wa Habari hizi. Hivyo ameitaka serikali kutupia macho bila kusita upande wa tiba asilia ili nkuweza kuwa na Taifa la Watu wenye afya na wakakamavu ambao wataweza kulitumikia Taifa lao kwa mafaniki

VIDEO-WA-MAMA WAPONGEZWA KUJIKITA KATIKA UJASIRIAMALI.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/17/2015 3:15:50 PM Wananchi mjini Kibaha wametakiwa kusimama bega kwa bega kuhakikisha wanaendelea kushirikiana katika kujikwamua na hali ngumu ya maisha ili kujiletea uastawi wao wenyewe na familia hizo. Mbunge wa Kibaha mjini, BW.SILVESTRY KOKA amesema hayo akizungumza na kinamama wa CCM wa Kata ya Tumbi ambapo pia amezindua mashina 10 ya umoja wa wanawake wa CCM na kuwataka kuendeleza juhudi hizo ambazo kwa njia moja au nyingine zilikuwa na uungwaji mkono mkubwa wa Mke wa Mbunge huyo BIBI.SELINA KOKA. Ambapo Mbunge huyo wa Kibaha mjini, BW.SILVESTRY KOKA amebainisha kuwa toka apate nafasi hiyo yeye na familia yake wametumia zaidi ya shilingi milioni 400 katika kusaidia vikundi mbalimbali vya kijamii katika suala zima la kuwajengea uwezo wa kiuchumi. BW.KOKA amefurahishwa na matokeo ambayo sasa anayashuhudia kwa kinamama kuwa na mwamko wa mawazo ya uzalishaji mali kama alivyoshuhudia katika ziara yake ya kuzindua mashina ya UWT 16 katika k

VIDEO-WAASWA KUTOENDEKEZA RUSHWA YA UCHAGUZI

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/17/2015 4:19:28 PM Watanzania wametakiwa kufanya maamuzi sahihi itakapofika kipindi cha uchaguzi bila ushawishi  wa chapaa ili kuweza kupata viongozi wanaostahili pasipo kutumia rushwa. Mjumbe halmashauri kuu ya Taifa ya chama cha mapinduzi kutoka Kibaha mjini, BW.RUGEMALIRA RUTATINA wakati akiongea na wanachama wa CCM kutoka Kata ya Mailimoja ambapo amesema rushwa isiwe msingi wa uchaguzi wa CCM. Bw.RUTATINA amesema inasikitisha kuona baadhi ya watu wanafanya maamuzi kwa shinikizo la rushwa na kujikuta wanachagua kiongozi bila kujali uwajibikaji wake. Aidha amechukua fursa hiyo kuwaasa Wanaccm kwenda kuisoma katiba pendekezwa sambamba nay a zamani ilii waweze kujua ukweli kuhusiana na suala hilo na hivyo kuweza kujitokeza kupiga kura ya maoni ya katiba kwa kujitambua. BW.RUTATINA amewasisitiza wanachama wa CCM kujitokeza kwa wingi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura zamu itakapofika. END. 

WA-MAMA WAPONGEZWA KUJITUMBUKIZA KATIKA UJASIRIAMALI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/17/2015 3:15:50 PM Wananchi mjini Kibaha wametakiwa kusimama bega kwa bega kuhakikisha wanaendelea kushirikiana katika kujikwamua na hali ngumu ya maisha ili kujiletea uastawi wao wenyewe na familia hizo. Mbunge wa Kibaha mjini, BW.SILVESTRY KOKA amesema hayo akizungumza na kinamama wa CCM wa Kata ya Tumbi ambapo pia amezindua mashina 10 ya umoja wa wanawake wa CCM na kuwataka kuendeleza juhudi hizo ambazo kwa njia moja au nyingine zilikuwa na uungwaji mkono mkubwa wa Mke wa Mbunge huyo BIBI.SELINA KOKA. Ambapo Mbunge huyo wa Kibaha mjini, BW.SILVESTRY KOKA amebainisha kuwa toka apate nafasi hiyo yeye na familia yake wametumia zaidi ya shilingi milioni 400 katika kusaidia vikundi mbalimbali vya kijamii katika suala zima la kuwajengea uwezo wa kiuchumi. BW.KOKA amefurahishwa na matokeo ambayo sasa anayashuhudia kwa kinamama kuwa na mwamko wa mawazo ya uzalishaji mali kama alivyoshuhudia katika ziara yake ya kuzindua mashina ya UWT 16 katika kat

WATANZANIA WAONYWA RUSHWA KIPINDI CHA UCHAGUZI

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/17/2015 4:19:28 PM Watanzania wametakiwa kufanya maamuzi sahihi itakapofika kipindi cha uchaguzi bila ushawishi  wa chapaa ili kuweza kupata viongozi wanaostahili pasipo kutumia rushwa. Mjumbe halmashauri kuu ya Taifa ya chama cha mapinduzi kutoka Kibaha mjini, BW.RUGEMALIRA RUTATINA wakati akiongea na wanachama wa CCM kutoka Kata ya Mailimoja ambapo amesema rushwa isiwe msingi wa uchaguzi wa CCM. Bw.RUTATINA amesema inasikitisha kuona baadhi ya watu wanafanya maamuzi kwa shinikizo la rushwa na kujikuta wanachagua kiongozi bila kujali uwajibikaji wake. Aidha amechukua fursa hiyo kuwaasa Wanaccm kwenda kuisoma katiba pendekezwa sambamba nay a zamani ilii waweze kujua ukweli kuhusiana na suala hilo na hivyo kuweza kujitokeza kupiga kura ya maoni ya katiba kwa kujitambua. BW.RUTATINA amewasisitiza wanachama wa CCM kujitokeza kwa wingi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura zamu itakapofika. END. 

VIDEO-WENYE ULEMAVU WAHAMASISHWA KUJITOKEZA KUGOMBEA UCHAGUZI MKUU.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/14/2015 7:37:15 PM Watu wenye ulemavu nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali  katika uchaguzi mkuu wa madiwani,wabunge na Rais unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu. Makamu wa Mwenyekiti wa Chama cha wasioona Tanzania, BW.ROBERT BUNDALA amesema kuwa wakati umefika kwa watu wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kisiasa ili kuweza kupata uwakilishi katika vyombo vya kutoa maamuzi. Akizungumza katika ufunguzi wa warsha ya watu wenye ulemavu wa aina tofauti mjini Kibaha, BW.BUNDALA amewasisitizia washiriki wa warsha hiyto kutokuwa nyuma katika kuhakikisha na wao washiriki kikamilifu katika mchakato mzima wa uchaguzi mkuu. Naye mshiriki wa warsha hiyo, BW.THOMAS MPONDA amewataka Watanzania kuwaunga mkono wanapojitokeza kugombea nafasi za uongozi badala ya kuwatenga kwa itikadi za kibaguzi, na alitoa mfano Kata ya Mapinduzi katika Mkoa wa Rukwa ambapo diwani wa ni mlemavu wa kuona. BW.MPONDA a

WALEMAVU WATAKIWA KUJIHUSISHA KTK SIASA

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/14/2015 7:37:15 PM Watu wenye ulemavu nchini wametakiwa kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali  katika uchaguzi mkuu wa madiwani,wabunge na Rais unaotarajiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu. Makamu wa Mwenyekiti wa Chama cha wasioona Tanzania, BW.ROBERT BUNDALA amesema kuwa wakati umefika kwa watu wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kisiasa ili kuweza kupata uwakilishi katika vyombo vya kutoa maamuzi. Akizungumza katika ufunguzi wa warsha ya watu wenye ulemavu wa aina tofauti mjini Kibaha, BW.BUNDALA amewasisitizia washiriki wa warsha hiyto kutokuwa nyuma katika kuhakikisha na wao washiriki kikamilifu katika mchakato mzima wa uchaguzi mkuu. Naye mshiriki wa warsha hiyo, BW.THOMAS MPONDA amewataka Watanzania kuwaunga mkono wanapojitokeza kugombea nafasi za uongozi badala ya kuwatenga kwa itikadi za kibaguzi, na alitoa mfano Kata ya Mapinduzi katika Mkoa wa Rukwa ambapo diwani wa ni mlemavu wa kuona. BW.MPONDA ame

CHADEMA YAPOKA WANACHAMA WA CCM BAGAMOYO

Image
Ben Komba/Pwani –Tanzania/4/11/2015 11:59:27 PM Chama cha demokrasia na maendeleo-CHADEMA-katika Kata ya Vigwaza Tarafa ya Msoga wilyani Bgamoyo kimefanikiwa kumtwaa Katibu wa    tawi la CCM Ruvu Drajani katika hatua ya kujiimarisha kisiasa katika kata hiyo. Afisa wa kanda yaw a Chama hicho,BW. JERRY KERENGE ametanabaisha kuwa chama chao kinaamini katika mtaji, ambao mtaji mkubwa wa kisiasa ni kupata wanachama wengi iwezekanavyo ili kuweza kufikia malengo. BW.KERENGE ameongeza katika kulitambua hilo chama kimepanga kufanya ziara kata nzima ya Vigwaza ili kutoa elim u ya uraia katika kuwasaidia wananchi nkutambua nafasi yao katika utawala wan chi. Ameongeza Afsa huyo wa Kanda, BW.JERRY KERENGE amewasisitiza wanachama wa chama hicho kuwa na utulivu kuelekea katika kushika dola hapo itakapofika Oktoba mwaka huu. Naye aliyekuwa Katibu wa tawi la CCM Ruvu darajani na kuamua kujiunga na CHADEMA, BW.MOHAMED PAZI amesema yeye ameamua kujiunga na chama hicho sambamba n

VIDEO-MKANDARASI ASABABISHA DHIKI KWA WANANCHI KITONGA BAGAMOYO.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/11/2015 10:53:35 PM Uongozi Wa Kijiji cha Kitonga kata ya Vigwaza Tarafa ya Msoga wilayani Bagamoyo umelaumiwa kwa kushindwa kufuatilia masuala ya maendeleo ya wananchi na hivyo kuwasababishia dhiki kubwa wakazi wao. Mkazi wa kijiji hicho, BW. ABDUL BAKAR MPONDA amesema hali ya maji ni mbaya katika kijiji kufuatia mkandarasi aliyepewa kazi ya kusambaza maji katika kijiji hicho kuondoa bomba awali ambalo lilikuwa kubwa na kuwawekea bomba dogo. BW.MPONDA amefafanua kuwa wananchi wa Kitonga ambao wanapakana na mto Ruvu kwa umbali Fulani imewapasa kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo muhimu kwa binadamu. Aidha ameongeza kuwa kwa sasa ili kupata huduma hiyo inawapasa kutumia shilingi kati ya 500 na 2000 kwa ajili ya huduma hiyo ilihali wenyewe wanaishi maisha ambayo yanakabiliwa na changamoto nyingi. Naye mwanadada REGINA SIMON amesema maji ni changamoto kubwa kwa maisha yao ya kila siku, na hivyo kusababisha hali mbaya kwa wananchi h

CHADEMA YAWAPOKA WANACHAMA CCM

Ben Komba/Pwani –Tanzania/4/11/2015 11:59:27 PM Chama cha demokrasia na maendeleo-CHADEMA-katika Kata ya Vigwaza Tarafa ya Msoga wilyani Bgamoyo kimefanikiwa kumtwaa Katibu wa    tawi la CCM Ruvu Drajani katika hatua ya kujiimarisha kisiasa katika kata hiyo. Afisa wa kanda yaw a Chama hicho,BW. JERRY KERENGE ametanabaisha kuwa chama chao kinaamini katika mtaji, ambao mtaji mkubwa wa kisiasa ni kupata wanachama wengi iwezekanavyo ili kuweza kufikia malengo. BW.KERENGE ameongeza katika kulitambua hilo chama kimepanga kufanya ziara kata nzima ya Vigwaza ili kutoa elim u ya uraia katika kuwasaidia wananchi nkutambua nafasi yao katika utawala wan chi. Ameongeza Afsa huyo wa Kanda, BW.JERRY KERENGE amewasisitiza wanachama wa chama hicho kuwa na utulivu kuelekea katika kushika dola hapo itakapofika Oktoba mwaka huu. Naye aliyekuwa Katibu wa tawi la CCM Ruvu darajani na kuamua kujiunga na CHADEMA, BW.MOHAMED PAZI amesema yeye ameamua kujiunga na chama hicho sambamba na Ba

VIDEO-MCHANGE KUGOMBEA U BUNGE KIBAHA MJINI KUPITIA ACT wazalendo.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/11/2015 10:53:35 PM Uongozi Wa Kijiji cha Kitonga kata ya Vigwaza Tarafa ya Msoga wilayani Bagamoyo umelaumiwa kwa kushindwa kufuatilia masuala ya maendeleo ya wananchi na hivyo kuwasababishia dhiki kubwa wakazi wao. Mkazi wa kijiji hicho, BW. ABDUL BAKAR MPONDA amesema hali ya maji ni mbaya katika kijiji kufuatia mkandarasi aliyepewa kazi ya kusambaza maji katika kijiji hicho kuondoa bomba awali ambalo lilikuwa kubwa na kuwawekea bomba dogo. BW.MPONDA amefafanua kuwa wananchi wa Kitonga ambao wanapakana na mto Ruvu kwa umbali Fulani imewapasa kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo muhimu kwa binadamu. Aidha ameongeza kuwa kwa sasa ili kupata huduma hiyo inawapasa kutumia shilingi kati ya 500 na 2000 kwa ajili ya huduma hiyo ilihali wenyewe wanaishi maisha ambayo yanakabiliwa na changamoto nyingi. Naye mwanadada REGINA SIMON amesema maji ni changamoto kubwa kwa maisha yao ya kila siku, na hivyo kusababisha hali mbaya kwa wananchi h

HABIB MCHANGE KUGOMBEA UBUNGE KIBAHA MJINI KUPITIA ACT WAZALENDO

Ben Komba/Pwani-Tanzania/ Chama cha ACT Mkoa wa Pwani kimeazimia kumsimamisha tena BW.HABIB MCHANGE ambaye uchaguzi mkuu uliopita aligombea nafasi hiyo kwa tiketi ya Chama cha demokrasia na maendeleo. Katibu wa ACT katika mkoa wa Pwani, BW.MRISHO HALFAN amesema hayo alipoongea na mwandishi wa Habari hizi kuwa  Chma hicho kimeazimia kumsimamisha BW.MCHANGE kugombea nafasi ya ubunge kupitia chama hicho. BW.HALFAN amefafanua kwamba ana uhakika na mgombea huyo kufanya vizuri katika uchaguzi ujao kutokana na taarifa zake kujulikana na watu wengi toka alipotoa upinzani wa kutosha kwa mbunge wa sasa wa Kibaha mjini kupitia tiketi ya CCM. Akizungumzia baadhi ya shutuma zinazotolewa na wapiga kura wa Kibaha kuhusiana na kuchukua rushwa kwa mgombea wao kutoka kwa CCM ili apuuzie kesi ya kupinga matokeo ya ubunge ya uchaguzi mkuu uiopita ambapo wana Kibaha wapenda mabadiliko walifikia hatua hata ya kumchangia fedha ili aendeshe kesi hiyo. Katibu huyo wa ACT mkoa wa Pwani, MRIS

MKANDARASI ASABABISHA UKOSEFU WA MAJI KITONGA BAGAMOYO.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/11/2015 10:53:35 PM Uongozi Wa Kijiji cha Kitonga kata ya Vigwaza Tarafa ya Msoga wilayani Bagamoyo umelaumiwa kwa kushindwa kufuatilia masuala ya maendeleo ya wananchi na hivyo kuwasababishia dhiki kubwa wakazi wao. Mkazi wa kijiji hicho, BW. ABDUL BAKAR MPONDA amesema hali ya maji ni mbaya katika kijiji kufuatia mkandarasi aliyepewa kazi ya kusambaza maji katika kijiji hicho kuondoa bomba awali ambalo lilikuwa kubwa na kuwawekea bomba dogo. BW.MPONDA amefafanua kuwa wananchi wa Kitonga ambao wanapakana na mto Ruvu kwa umbali Fulani imewapasa kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo muhimu kwa binadamu. Aidha ameongeza kuwa kwa sasa ili kupata huduma hiyo inawapasa kutumia shilingi kati ya 500 na 2000 kwa ajili ya huduma hiyo ilihali wenyewe wanaishi maisha ambayo yanakabiliwa na changamoto nyingi. Naye mwanadada REGINA SIMON amesema maji ni changamoto kubwa kwa maisha yao ya kila siku, na hivyo kusababisha hali mbaya kwa wananchi hao amb

VIDEO-SHULE YA AJABU

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/10/2015 8:10:17 PM Wakazi wa kijiji cha Kitonga katika Kata ya Vigwaza wilayani Bagamoyo wamelalamikia serikali kuhusiana na kufumbia macho kero ya shule ilihali Mbunge wa eneo hil;o ndiye Waziri anayehusika na elimu, BW.SHUKURU KAWAMBWA. Mmoja wa wakazi wa kijiji cha Kitonga wilayani Bagamoyo, BW.AMIR MKEJINA amesema halisi ya shule ya msingi Kitonga ni ya kusikitisha na ameilaumu serikali kwa kutotoa kipaumbele kwa shule zilizo pembezoni. BW.MKEJINA ameongeza kuwa shule yao ina madarasa saba kamili lakini ikiwa na madarasa mawili na walimu watano wakiwa na madawati yasiyozidi ishirini katika kipindi hiki ambacho dunia ipo katika mkipindi cha sayansi na teknolojia. Mkazi mwingine wa kijijini hapo Kitonga wilayani Bagamoyo, BW.EMMANUEL MUNGELE amesema yeye kwa upande wake ameamua kuwahamisha watoto wake kutokana na kwamba watoto wanamaliza darasa la saba hawawezi kusoma hali ambayo inakatisha tama kwa wakazi wa kijijini hapo. Aidha BW.

SHULE YA AJABU BAGAMOYO

Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/10/2015 8:10:17 PM Wakazi wa kijiji cha Kitonga katika Kata ya Vigwaza wilayani Bagamoyo wamelalamikia serikali kuhusiana na kufumbia macho kero ya shule ilihali Mbunge wa eneo hil;o ndiye Waziri anayehusika na elimu, BW.SHUKURU KAWAMBWA. Mmoja wa wakazi wa kijiji cha Kitonga wilayani Bagamoyo, BW.AMIR MKEJINA amesema halisi ya shule ya msingi Kitonga ni ya kusikitisha na ameilaumu serikali kwa kutotoa kipaumbele kwa shule zilizo pembezoni. BW.MKEJINA ameongeza kuwa shule yao ina madarasa saba kamili lakini ikiwa na madarasa mawili na walimu watano wakiwa na madawati yasiyozidi ishirini katika kipindi hiki ambacho dunia ipo katika mkipindi cha sayansi na teknolojia. Mkazi mwingine wa kijijini hapo Kitonga wilayani Bagamoyo, BW.EMMANUEL MUNGELE amesema yeye kwa upande wake ameamua kuwahamisha watoto wake kutokana na kwamba watoto wanamaliza darasa la saba hawawezi kusoma hali ambayo inakatisha tama kwa wakazi wa kijijini hapo. Aidha BW.MU

VIDEO-MGOMO WA MABASI WAATHIRI SHUGHULI ZA MAENDELEO.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/4/10/2015 7:22:20 PM Mgomo mkubwa wa mabasi  ya kubeba abiria kutoka Mkoa wa Dar es Saalam kuelekea mikoa mbalimbali ya Tanzania umefanyika na kuathiri kwa kiasi kikubwa shughuli mbalimbali za maendeleo. Abiria wengi wameonekana katika stendi ya mabasi ya Mailimoja wengi wao kutoka mikoa ya Mwanza na Kagera ambao hulazimika kulala njiani na kuwapasa kusafiri kwa siku mbili kufatia utaratibu mpya ambao umewekwa na serikali. Nimdebahatika kuongea na wafanyakazi hao wa mabasi ya kusafirisha abiria, abiria na viongozi wa mawakala wa mabasi yanayosafirisha abiria katika kituo cha mabasi cha Mailimoja. Zaidi fuatilia hali halisi ya sakata zima la mgomo ambao umendeshwa na madereva nchi nzima kupinga kulazimishwa kurudfi shule ya mafunzo ya kazi hiyo kila baada ya miaka mitano ya kuhalalisha tena leseni yake kwa ada ya shilingi zzaidi ya shilingi laki tano, kitu ambacho madereva hawakubaliani nacho. END.