Posts

Showing posts from November, 2012

CHANJO MPYA YA NIMONIA NA ROTAVIRUS WANACHI WAHAMASISHWA.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/30-Nov-12/06:27:06 Wananchi wilayani Kibaha wametakiwa kuto ushirikiano wa kutosha kwa watoa huduma ya chanjo ROTAVIRUS na NIMONIA katika suala zima la uimarishaji wa afya, na katika muda wote wa utekelezaji wa zoezi hilo ambalo likifanikiwa litawezesha kufanya magonjwa ya uti wa mgongo na kuharisha kwa watoto wadogo kuwa historia hapo baadaye. Akizungumza katika kikao cha uhamasishaji na kamati ya afya ya msingi ya wilaya, Mwakilishi wa mkuu wa wilaya Bw. ANATOLY MHANGO amekemea tabia ya baadhi ya watu kupotosha malengo ya chanjo mbalimbali zinazotolewa kwa jamii katika kuiepusha na magonjwa ambayo yanaweza kukingika. BW. MHANGO amewaasa wananchi kutoa ushirikiano ili kuweza kiampeni hiyo ya chanjo ya RITOVIRUS na NIMONIA ifanikiwe, katika kuhakikisha suala zima la kuboresha huduma ya afya ya jamii. Naye Mratibu wa chanjo halmashauri ya wilaya ya Kibaha, BIBI. REHEMA PILIMO amesema kuwa ROTAVIRUS ni vimelea vinavyosababisha kuharisha kwa watoto

UPATIKANAJI WA MAJI KUBORESHWA-KIBAHA.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/18:38/27-11-2012. Chanzo cha maji chenye uwezo wa kuzalisha mpaka zaidi ya mita za ujazo 36,ambazo ni sawa lita 36,000 za maji zinazalishwa na chanzo cha kisima kilichochimbwa maeneo ya Ngeta katika halmashauri ya wilaya ya Kibaha, na kuvifaidisha vitongoji 6 vya halmashauri vya halmashauri hiyo. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi mhandisi wa maji katika halmashauri ya wilaya ya Kibaha, BW. CHRISTOPHER MDUMA amesema hatua hiyo ni katika kuhakikisha halmashauri ya wilya ya Kibaha inakuwa na maji ya uhakika katika kipindi chote cha mwaka. BW. MDUMA ameongeza chanzo cha maji cha Ngeta kitawezesha kupunguza makali ya upatikanaji wa maji kwa baadhi ya vitongoji ambavyo awali iliwalazimu wakazi wake kutembea umbali mrefu kutafuta maji hasa nyakati za kiangazi, kutokana na visima vingi kukauka katika kipindi hicho. Amefafanua kuwa kabla ya kutekelezwa kwa mradi huo, wananchi walikuwa wakitegemea visima vya asili, kutokana na chanzo cha Ngeta kitafai

Father Kidevu: MSANII/MUIGIZAJI/MCHEKESHAJI SHARO MILIONEA HAYUPO NASI

Father Kidevu: MSANII/MUIGIZAJI/MCHEKESHAJI SHARO MILIONEA HAYUPO NASI

MINISTER KAWAMBWA LIE ABOUT RELIGIONISM IN OUR SCHOOLS

Image
Bernard Komba   DONTLIE:Kawambwa it is time for you to step down,it seem that you are the source of religion inspired violence caused by muslims student you try to lie, and if not what about kibiti,usagara. you are there to promote religion or what. why you manipulate the truth, here in coast region we witness rise of islamists who indirectly supported by some people especially fellow muslims who are plenty in every high position in our region to cause unrest to rob christian land forceful and erect the mosque in kibaha. 9 hours ago  via  mobile  ·  Edited  ·  Like Bernard Komba   dont blame teachers and all students, blame muslims students supported by board member with arab origin and one muslim teacher who are known and government protect them for hidden reason, in proccess to muslimize Tanzania, it is conspiracy from high to ... See More 9 hours ago  via  mobile  ·  Like Bernard Komba   so is up to you and muslims politicians who want

ONLINE BENEFITS

Ben Komba/Pwani-Tanzania/12/11/23/8:53:32 AM Mkuu wa mkoa wa Pwani, BIBI. MWANTUMU MAHIZA ameelezea matarajio makubwa ya mafanikio katika suala zima la maendeleo kutokana na kujengwa mkonga wa mawasiliano wa Taifa na hivyo kurahisisha utoaji wa huduma mbalimbali kwa jamii. Akizungumza na waandishi wa habari ambao walikuwa wameambatana na na mtaalamu wa masuala ya Mtandao, BW. LUKELA MKAMI ambae alikuwepo hapa kwa ajili ya kuwanoa waandishi wa habari wa mkoa Pwani juu ya matumizi ya mtandao wakati wa utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku. Ambapo Mkuu wa mkoa MAHIZA amesema yeye binafsi amefurahishwa na hatua ya serikali kujenga mkonga wa mawasiliano ambao unanuwiwa kupunguza gharama za matumizi ya mtandao na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya serikali. Amebainisha mpaka sasa serikali imeshaanza kutekeleza majukumu yake mbalimbali kwa kutumia mtandao ikiwa pamoja na kuanzisha ulipaji wa fedha kwa kutumia mfumo wa kielektroniki unaojulikana
Ben Komba/Pwani-Tanzania/12/11/23/8:53:32 AM Mkuu wa mkoa wa Pwani, BIBI. MWANTUMU MAHIZA ameelezea matarajio makubwa ya mafanikio katika suala zima la maendeleo kutokana na kujengwa mkonga wa mawasiliano wa Taifa na hivyo kurahisisha utoaji wa huduma mbalimbali kwa jamii. Akizungumza na waandishi wa habari ambao walikuwa wameambatana na na mtaalamu wa masuala ya Mtandao, BW. LUKELA MKAMI ambae alikuwepo hapa kwa ajili ya kuwanoa waandishi wa habari wa mkoa Pwani juu ya matumizi ya mtandao wakati wa utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku. Ambapo Mkuu wa mkoa MAHIZA amesema yeye binafsi amefurahishwa na hatua ya serikali kujenga mkonga wa mawasiliano ambao unanuwiwa kupunguza gharama za matumizi ya mtandao na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya serikali. Amebainisha mpaka sasa serikali imeshaanza kutekeleza majukumu yake mbalimbali kwa kutumia mtandao ikiwa pamoja na kuanzisha ulipaji wa fedha kwa kutumia mfumo wa kielektroniki unaojulikana

CCM INATISHA KIBAHA-KOKA

MBUNGE KIBAHA MJINI ASEMA CCM INATISHA-KOKA Ben Komba/Pwani -Tanzania/12/11/18/9:47:21 Mbunge wa Jimbo la uchaguzi Kibaha mjini, BW. SLYVESTER KOKA ametambia mafanikio ambayo Kibaha imeyapata katika kipindi cha miaka miwili akiwa kama mbunge wa Jimbo hilo. Akizungumza katika hafla ya kuwashukuru wananchi wa mtaa wa Kwa mfipa kwa kuichagua CCM karibuni katika nafasi zote za uongozi, BW. KOKA amesema katika kipindi cha miaka miwili cha ubunge wake amewezesha mji wa Kibaha kuwa na barabara ya lami kwa mara ya kwanza toka kuanzishwa kwa Kibaha kama makao makuu ya mkoa wa Pwani mwaka 1974. Mbunge huyo alipokuwa anawafumbua macho na masikio wananchi wa Kata ya Kwa mfipa kuhusiana na shughuli mbalimbali za maendeleo katika kipindi cha miaka miwili cha ubunge wake kwa kueleza nini kinaendelea, ikiwa pamoja na kuanzisha mfuko wa elimu wenye lengo la kuhakikisha vijana wanapata elimu ambayo itasaidia kuchochea maendeleo ya Jimbo lake. BW. KOKA amesema kuwa katika kuhakikisha mfuko

WATOA HUDUMA MAJUMBANI KIBAHA WALIA UJIRA KIDUCHU

watoa huduma kwa wagonjwa majumbani walia malipo hafifu kibaha Ben Komba/Pwani-Tanzania/15-Nov-12/05:30:05 PM Imebainishwa mijini Kibaha kuwa kubadilika kwa mashirika yanayoendesha mradi wa utoaji wa huduma kwa wagonjwa majumbani mjini Kibaha, ndio chnazo cha kubadilika kwa taratibu mbalimbali za uendeshaji kutokana na kila shirika kuwa na sera yake. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kufuatia baadhi ya watoaji huduma kwa wagonjwa waliopo majumbani, kulalamikia ufinyu wa malipo ambayo wanapatiwa na shirika lisilo la kiserikali linalosimamia mradi huo kwa sasa mjini Kibaha la PATHFINDER kwa kushirikiana na RED CROSS na EGPF ambao wamerithi kutoka kwa shirika la KIFARU, Mratibu wa huduma za wagonjwa majumbani, DR. ALEX MLIGA amesema wadau hao wameanza kazi toka mwezi wa nne mwaka huu. Na kwa kuanzia waliendesha zoezi la utambuzi kubaini uwezo wa watoaji huduma majumbani waliopo, ili kubaini iwapo kama kuna wenye upungufu kutoendelea nao, na kigezo kikubwa kilichozingatiwa ni

HALMASHAURI KUSAMBAZA MAJI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/13-Nov-12/07:19:16 PM Halmashauri ya wilaya ya Kibaha katika mkoa wa Pwani imeanzisha mpango maalum wa usambazaji wa maji katika vijiji takriban 10, mradi amabao utagharimu fedha za Kitanzania zaidi ya milioni 300. Akiongea na mwandishi wa habari hizi mhandisi wa maji halmashauri ya wilaya ya Kibaha, BW. JUMA IBRAHIM amesema shughuli ambazo zinatarajiwa kutekelezwa katika hatua ya awali katika vijiji viwili vya NGETA na MSONGOLA, Ambapo katika kijiji cha Ngeta mradi unatarajia kujenga tanki la lita 100,000. Mbali ya ujenzi wa tenki hilo BW. IBRAHIMI amesema mabomba yenye urefu wa mita 737 ambalo litakuwa bomba kubwa litalogawanya maji katika vituo saba ambavyo vitakuwa na umbali wa mita 6040, sawa na ufungaji wa jenereta na pampu ya maji. BW. IBRAHIMU ameongeza katika kuhakikisha mradi huo unajiendesha idara ya maji halmashauri ya wilaya ya Kibaha itafunga mita katika kila kituo cha kusambaza maji, ikiwa na utoaji wwa mafunzo kwa kamati za maji za vi

KAMPENI YA MAMA MISITU YAZINDULIWA PWANI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/11/11/12 Kampeni ya mama misitu imezinduliwa rasmi katika kijiji cha Kisanga tarafa ya Sungwi wilayani Kisarawe, ikiwa na lengo la kuahamasisha jamii kuwa na ufahamu kuhusiana na masuala ya utunzaji wa mazingira na umuhimu wake katika kupunguza hewa ukaa. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo Mratibu wa BW. YAHYA MTONDA ambaye amesema lengo kuu la kampeni ya mama misitu, ni kupeleka suala la utawala bora katika suala la uhifadhi wa misitu kwa jamii ili kuweza kuwa shirikishi kwa jamii kushiriki moja kwa moja katika kuilinda na kuitunza misitu ya RUVU Kusini. BW. MTONDA ameongeza kuwa kwa kampeni hiyo ni kuleta mageuzi chanya katika suala uhifadhi wa misitu na kupunguza uvunaji haramu wa mazao ya misitu sawa na kuhakikisha wanajamii wanaoishi maeneo yaliyozunguka misitu wanafaidika kwayo. Amesema katika suala zima la kuwepo kwa utawala bora, halmashauri za wilaya na vyombo vinavyosimamia sheria kwa kuwapatia elimu kuhusiana na utawala bora katik

VUTA NIKUVUTE YA UDINI BADO YAENDELEA BAGAMOYO SEKONDARI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/03-Nov-12/17:25:09 Mgogoro wa kidini unaoendelea katika shule ya sekondari Bagamoyo na huku viongozi wa mkoa wa Pwani wakipiga chenga kuzungumzia suala hilo na kulishughulikia kutokana na wengi wao kuwa wenye madaraka makubwa mkoani hapa kuwa waumini wa dini ya Kiislam hali ambayo inaendelea kuzua maswali miongoni mwa wananchi hususan wakristo kuhusiana ni wapi tunakwenda. Hayo yamezungumzwa na baadhi ya wazazi wa watoto wa kikristo wanaosoma kwa kuelezea kukatishwa tamaa na maneno ya Kaimu kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani. SALEH MBAGA ambaye alikiri kwa kuwepo kwa tatizo hilo, na kuonysha kufurahishwa kwake na taarifa ya Mwalimu mkuu wa shule ya kuondoka na Familia yake kwa kusema wao ndio walivyotaka kwani wanafunzi wa kiislamu hawamtaki na ikizingatiwa kaimu kamanda naye ni muislam bila kuangalia wanafunzi wakristo wana hoja gani. Mzazi huyo amesikitishwa na hatua ya serikali kujaribu kuvundika jambo hilo kwa kuficha taarifa kwa sababu ambazo