Posts

Showing posts from August, 2015

BODABODA WAPATIWA MAFUNZO

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/31/2015 4:55:15 PM Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani limewatunuku vyeti madereva wa bodaboda ambao wamemaliza mafunzo ya usalama barabarani ambayo yametolewa na shirika lisilo la kiserikali la ANTI POVERTY AND ENVIROMENTAL CARE-APEC. Mkurugenzi wa shirika hilo, BW.RESPICIUS TIMANYWA ameeleza kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuhakikisha usalama wa vyombo hivyo linakuwa jambo la lazima kwa kutoa elimu ambayo ikizingatiwa itaweza kuokoa maisha ya wengi. Bw.TIMANYWA amefafanua kuwa mpaka sasa wameshafikia mikoa 15 katika kuhakikisha wanawajen gea uwezo madereva  kiuchumi na kijamii na kufanikiwa kupunguza ajali kwa asilimia 95 ya wale ambao wamepatiwa mafunzo. Mrakibu mwandamizi wa Jeshi la Polisi TABITHA MAKARANGA amewashukuru APEC kwa kutoa mafunzo hayo ambayo kwa njia moja au nyingine yataweza kupunguza ajali zinazosababishwa na bodaboda. Mrakibu mwandamizi MAKARANGA amesema kuwa takwimu mpaka sasa zinaonyesha waathirika wakubwa wa ajali za bara

YANGA KUJENGA UWANJA WA KISASA

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/30/2015 1:10:38 PM Klabu bingwa ligi kuu ya Vodacom, Yanga Dar African inaendelea na mchakato wa kujenga kiwanja cha kimataifa cha michezo katika eneo la Jangwani katika suala zima la kuhakikisha wanajitosheleza kwenye miundombinu ya michezo. Mwenyekiti wa matawi ya Yanga nchini, MOHAMED MSUMI amesema hayo wakati wa uzinduzi wa Tawi la Yanga Maili moja, Kibaha mjini ambapo amesema kuwa mpaka sasa hatua mbalimbali zimeshachukuliwa kuhakikisha mafanikio hayo yanafikiwa. MSUMI amebainisha kuwa mpaka sasa wameshawasiliana na mamlaka husika ili ikiwezekana waongezewe eneo la kiwanja chao ili waweze kujenga uwanja huo ambao unatarajiwa kuchukua mashabiki 40000 na kuwepo kwa vianja mbalimbali kwa ajili kuendeleza michezo. Naye mgeni rasmi katika hafla hiyo mfanyabiashara na mshabiki mkubwa wa Yanga, LLYOD ATANAKA ameelezea kufurahishwa kwake na hatua hiyo ya wanachama wa Yanga kujiunga na kufungua Tawi hilo. Shabiki huyo wa Yanga,ATANAKA amewasis

VIDEO- HAMAHAMA YATIA FORA

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/22/2015 2:48:56 PM Katika hatua inayoashiria kuwa vuguvugu la wananchama kimoja kuhamia kingine bado linafukuta kufuatia kuendelea kwa wananchama na viongozi waandamizi katika vyama vya siasa kufanya mzunguko ambapo kuna walioenda mbali zaidi kuzunguka zaidi ya viwili kwa mpigo. Hali hiyo imeendelea pia wilayani Kibaha ambapo, Mwenyekiti wa CCM Wazazi BW. ALLY BAGO Kata ya Boko Mnemela kuamua kujivua nafasi yake na kujiunga na CHADEMA ikiwa hatua hiyo ameichukua kufuatia kuchukizwa na mambo yanavyoendeshwa katika chama hicho kwa hivi sasa. BW.BAGO amesema vijana ambao wamepewa vyeo katika chama hicho wamekuwa wapuuzi ambao hawaheshimi wanachama wakongwe ambao wamewakuta katika chama hicho, na amejipanga kufanya kazi na chama chake kipya katika kuhakikisha mabadiliko yanapatikana nchini. Sawa na tukio hilo la kurudisha Kadi ya chama cha Mapinduzi kwa kada ALLY BAGO ambapo amekabidhiwa kadi ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa CHAD

VIDEO - HAMAHAMA YA VYAMA KIBAHA NAYO HAIPO NYUMANAYO

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/22/2015 2:48:56 PM Katika hatua inayoashiria kuwa vuguvugu la wananchama kimoja kuhamia kingine bado linafukuta kufuatia kuendelea kwa wananchama na viongozi waandamizi katika vyama vya siasa kufanya mzunguko ambapo kuna walioenda mbali zaidi kuzunguka zaidi ya viwili kwa mpigo. Hali hiyo imeendelea pia wilayani Kibaha ambapo, Mwenyekiti wa CCM Wazazi BW. ALLY BAGO Kata ya Boko Mnemela kuamua kujivua nafasi yake na kujiunga na CHADEMA ikiwa hatua hiyo ameichukua kufuatia kuchukizwa na mambo yanavyoendeshwa katika chama hicho kwa hivi sasa. BW.BAGO amesema vijana ambao wamepewa vyeo katika chama hicho wamekuwa wapuuzi ambao hawaheshimi wanachama wakongwe ambao wamewakuta katika chama hicho, na amejipanga kufanya kazi na chama chake kipya katika kuhakikisha mabadiliko yanapatikana nchini. Sawa na tukio hilo la kurudisha Kadi ya chama cha Mapinduzi kwa kada ALLY BAGO ambapo amekabidhiwa kadi ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa CH

SHULE YA JUMUIYA YA WAZAZI CCM KIBAHA HATARINI KUPIGWA MNADA.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/23/2015 11:22:24 AM Iliyokuwa shule ya Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha Mapinduzi ipo hatarini kupigwa mnada kwa kudaiwa shilingi milioni 12, ambazo inaelekea Jumuiya hiyo imeshindwa kuzilipa. Katibu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Kibaha mjini, BI.ZAITUNI KIOBYA amesema wao wameshangazwa kusikia kuna gari linapita mitaani likitangaza upigaji mnada wa shule hiyo ambayo ilijifunga bila utaratibu kutokana na kukosekana kwa usimamizi madhubuti. BI.KIOBYA ameongeza hatua ya kutaka kupiga mnada shule hiyo ulifanyika bila Jumuiya ya wazazi wilaya kushirikishwa hususan Kamati ya utekelezaji ambayo ndiyo yenye jukumu la kusimamia shule zote zinazomilikiwa na Jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi. Amefafanua baada ya kusikia uamuzi huo wa kutaka kuuzwa kwa njia yam nada kwa shule hiyo, Jumuiya ya wazazi ikaamua kufuata taratibu za kisheria kuweka pingamizi kuendeshwa kwa zoezi hilo ambalo lilikuwa liendeshwe na TAMBAZA AUCTION MART, ambao tayari walikuwa

HAMA YA KUTOKA CHAMA KIMOJA KINGINE YAENDELEA

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/22/2015 2:48:56 PM Katika hatua inayoashiria kuwa vuguvugu la wananchama kimoja kuhamia kingine bado linafukuta kufuatia kuendelea kwa wananchama na viongozi waandamizi katika vyama vya siasa kufanya mzunguko ambapo kuna walioenda mbali zaidi kuzunguka zaidi ya viwili kwa mpigo. Hali hiyo imeendelea pia wilayani Kibaha ambapo, Mwenyekiti wa CCM Wazazi BW. ALLY BAGO Kata ya Boko Mnemela kuamua kujivua nafasi yake na kujiunga na CHADEMA ikiwa hatua hiyo ameichukua kufuatia kuchukizwa na mambo yanavyoendeshwa katika chama hicho kwa hivi sasa. BW.BAGO amesema vijana ambao wamepewa vyeo katika chama hicho wamekuwa wapuuzi ambao hawaheshimi wanachama wakongwe ambao wamewakuta katika chama hicho, na amejipanga kufanya kazi na chama chake kipya katika kuhakikisha mabadiliko yanapatikana nchini. Sawa na tukio hilo la kurudisha Kadi ya chama cha Mapinduzi kwa kada ALLY BAGO ambapo amekabidhiwa kadi ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa CHADEM

PCCB WAJIPANGA KUDHIBITI RUSHWA YA UCHAGUZI

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/13/2015 10:01:51 PM Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Morogoro imesisitiza kukomesha vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari ambao walifika   ofisini kwake mjini Morogoro kamanda wa PCCB wa mkoa huo,BW.EMMANUEL KIYABO amebainisha mpaka wamechukua hatua mbalimbali za kukabiliana na rushwa kipindi cha uchaguzi. Kamanda KIYABO amesema moja ya hatua ambazo wamechukua nikuandaa katazo kuhusiana na utoaji na upokeaji wa rushwa kipindi cha uchaguzi,amebainisha kuwa sababu kubwa ya kuwepo na rushwa katika kipindi hicho tama ya kupata kitu chochote bila kufuata taratibu. Aidha ameongeza kuwa uelewa mdogo wa wapiga kura kuhusu rushwa na athari zake kipindi cha uchaguzi na hasa kutokana na wananchi kutojua nafasi na wajibu wao katika uchaguzi na umuhimu wa kura zao. Kamanda huyo wa PCCB mkoa wa Morogoro, BW.EMMANUEL KIYABO ameongeza suala la umaskini ndi

WAANDISHI WA HABARI WAPATIWA MAFUNZO YA UCHAGUZI

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/12/2015 2:26:00 PM Waandishi 25 wa kutoka kanda ya mashariki odoma ambayo inachukua mikoa ya Morogoro, Iringa, Pwani  na Dodoma wamekutana mkoani Morogoro kupatiwa mafunzo juu  kuripoti ya uchaguzi. Mafunzo hayo ambayo yameandaliwa na Baraza la habari Tanzania na kufadhiliwa na BBC MEDIA ACTION, Mratibu wa mafunzo hayo kutoka baraza la habari Tanzania,BW.SAID HASSAN amesma kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo waandishi hao katika kuripoti habari za uchaguzi. BW.HASSAN amefafanua kuwa wameshirikiana na BBC MEDIA ACTION kutoa mafunzo hayo kwa waandishi hao wamegawanywa katika kanda saba za mafunzo zikiwemo kanda ya Pwani, Kanda ya Zanzibar, kanda ya Nyanda za juu Kusini, kanda ya mashariki,kanda ya kati, kanda ya Kaskazini na kanda ya Ziwa. mmoja wa washiriki  wa mafunzo hayo, BI. AGUSTA NJOJI kutoka Dodoma yeye kwa upande wake ameelezea kufurahishwa kwake na  uamuzi wa MCT na BBC kwa kutoa mafunzo hayo yenye kutoa muongozo

U-MUNGU MTU KUIUA CCM

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/11/2015 11:05:47 AM Mwenyekiti wa CCM Sumbawanga mjini ametishia kujiuzulu baada ya kuibuka kwa vitendo vya kukiuka utaratibu wa kura za maoni ya chama hicho katika kupata mgombea ambaye atawakilisha wananchi wa Jimbo hilo. Habari za uhakika ambazo mwandishi wa habari   amezipata ni kuwa uongozi wa Chama hicho wamekuwa wakikiuka taratibu za kura maoni kutokana na wengi wao   kuendekeza rushwa na kumbeba mtu anayewapa chochote. Mmoja wa wakazi wa Sumbawanga, BW.HENRY MAKUNGU ameshangazwa na hatua ya CCM mkoa kutopeleka jina la mmoja wa wagombea kujadiliwa baada ya kukata rufaa kwa lengo la kumbeba Mbunge amabye amemaliza muda wake, BW.AISHI HILALI. BW.MAKUNGU amefafanua kuwa taratibu ambao viongozi hao wa chama kunatoa fursa ya chama hicho kujimaliza kutokana na baadhi ya viongozi wa chama hicho kujifanya Mungu watu, kitu ambacho kitakigharimu chama hicho. Bw. MAKUNGU ameongeza kutokana na tukio hilo tunajipanga kuhakikisha tunampigia

VIDEO-MAROROSO YA KURA ZA MAONI KIBAHA MJINI

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/6/2015 12:11:35 PM Wakati wa utaratibu wa kura za maoni za ndani ya Chama Cha Mapinduzi ukiwa umekamilika na huku ukikabiliwa na mapingamizi kibao, Baadhi ya madiwani ambao walijikuta katika uchaguzi uliopita wamepoteza nafasi zao, wamejikuta wakirudi tena kupitia kata mpya zilizoanzishwa. Baadhi ya maeneo kuna wagombea ambao kwa njia moja au nyingine wamelalamika kuwa kuna wagombea wenzao wamekuwa wananbebwa na viongozi wa Chama wenye jukumu la kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa kufuata misingi ya haki. Mmoja wa wagombea hao ambaye hakutaka kutajwa jina lake amesema kuwa kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi kana kwamba tayari kulikuwa na mtu wa ambaye ameandaliwa rasmi na chama. Ambapo amebainisha kuwa hata baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi huo walikuwa wanafanya mawasiliano ya mara kwa mara na mmoja wa wagombea wa ubunge katika suala zima la kuhakikisha wagombea wa kambi fulani wanashinda. Zaidi angalia video mwisho kil

MA4ROROSO YA KURA ZA MAONI CCM.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/6/2015 12:11:35 PM Wakati wa utaratibu wa kura za maoni za ndani ya Chama Cha Mapinduzi ukiwa umekamilika na huku ukikabiliwa na mapingamizi kibao, Baadhi ya madiwani ambao walijikuta katika uchaguzi uliopita wamepoteza nafasi zao, wamejikuta wakirudi tena kupitia kata mpya zilizoanzishwa. Baadhi ya maeneo kuna wagombea ambao kwa njia moja au nyingine wamelalamika kuwa kuna wagombea wenzao wamekuwa wananbebwa na viongozi wa Chama wenye jukumu la kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa kufuata misingi ya haki. Mmoja wa wagombea hao ambaye hakutaka kutajwa jina lake amesema kuwa kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi kana kwamba tayari kulikuwa na mtu wa ambaye ameandaliwa rasmi na chama. Ambapo amebainisha kuwa hata baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi huo walikuwa wanafanya mawasiliano ya mara kwa mara na mmoja wa wagombea katika suala zima la kuhakikisha wagombea wa kambi fulani wanashinda. Zaidi angalia video mwisho kilichofanyika…

KURA ZA MAONI CCM ZAZUA MALALAMIKO KIBAHA.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/8/2/2015 3:47:54 PM Wakati wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakimalizia kupiga kura ya maoni kupata wagombea ubunge na udiwani wilayani Kibaha, malalamiko mbalimbali yamejitokeza na hivyo kuendelea kuleta mkanganyiko katika chama hicho kikongwe cha siasa nchini. Moja ya maeneo ambayo yamezua malalamiko makubwa ni Tawi la Mtambani Mlandizi ambapo wapiga kura ambao ni wanachama wa CCM wapatao 50 walikataliwa kupiga kura hiyo kutokana na majina yao kutoonekana katika daftari ya uandikishaji wa makatibu matawi yao. Mmoja wa wanachama hao, BI.MARY LUCAS amesema wao wamefika kituoni hapo mapema kupiga kura ili aweze kutumia haki yake ya kikatiba kama mwana CCM, Lakini kutokana na sababu ambazo hakubaliani nazo kutokana nay eye kufuata taratibu zote ikiwa pamoja na kuzikusanya kadi zao na kuzikabidhi kwa makatibu tawi. BI.LUCAS ameongeza kuwa wamekuwa wakiwauliza wasimamizi wa uchaguzi walikuwa hawana majibu sahihi ya kuwajibu wanachama wao, na kwa upande wak