Posts

Showing posts from February, 2017

AGIZO LA MKUU WA MKOA KUHUSU MIFUGO PWANI LAPUUZWA

Image

MKUU WA WILAYA BAGAMOYO APINGWA KUTUMIA UBABE

Image

COREFA YAUNGA MKONO VITA DHIDI YA MADAWA KULEVYA

Ben Komba/Pwani-Tanzania/23/02/2017 09:28:28 Chama cha soka mkoa wa Pwani COREFA limeunga mkono kwa kauli moja vita dhidi ya madawa ya kulevya inayoendeshwa na serikali katika kukabiliana na ongezeko kubwa la matumizi ya madawa hayo hatarishi kwa afya za wanadamu. Katibu mtendaji wa COREFA, ABUBAKAR ALLAWI amesema chama hicho kimetambua juhudi za serikali katika kupambana na kadhia hiyo hiyo ambayo imekuwa ni tishio kwa afya na ustawi wa afya za vijana. Amesema COREFA wanatambua matumizi ya madawa ya kulevya yana athari kubwa katika nchi yetu na mpaka sasa yameshapoteza nguvu kazi kubwa tegemeo kwa maendeleo ya nchi. Aidha Katibu mtendaji wa COREFA, ALLAWI amewataka wadau wote wa michezo wanaojihusisha kwa njia moja au nyingine katika utumiaji au uuzaji wa madawa ya kulevya kuacha kufanya hivyo mara moja. END

YPC YATAFUTA MWAROBAINI WA TATIZO LA AJIRA

Image

WANANCHI WACHANGIA MATOFALI KUONGEZA MADARASA VIGWAZA

Image

WANANCHI WACHANGIA MATOFALI KUONGEZA MADARASA VIGWAZA

Image