Posts

Showing posts from February, 2015

MADAWA YA KULEVYA KILO NNE YAKAMATWA PWANI

Ben Komba/Pwani-Tanzania/2/28/2015 Jeshi la Polisi Mkoani Pwani umekamata kilo nne za unga unaosadikiwa kuwa madawa ya kulevya katika maeneo ya Kibaha kwa Mathias, katika halmashauri ya mji wa Kibaha. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo ambao hawakutaka majina yao kutajwa kuhofia usalama wao, Mmoja wao amebainisha kuwa unga huo ulikamatwa majira ya saa tatu usiku kufuatia msako wa kumatafuta mtuhumiwa KANONI KAFU KANONI ambaye amekiuka masharti ya dhamana ya kesi mbalimbali zinazomkabili. Baada ya Polisi kufika katika eneo la tukio wakiongozwa na Afisa upelelezi ALLY MASIMIKE kutoka kituo cha Polisi cha Tumbi, mtuhumiwa katika mazingira yasiyoeleweka alifanikiwa kukimbia na kuwaachia Polisi na wadhamini waliotega mtego wa kumkamata nyumba. Na ndipo kufuatia hali hiyo ndipo Polisi wakaanza kufanya upekuzi na kufanikiwa kupata BRIEF CASE ambayo ilikuwa na unga kilo nne, na waligundua unga huo walipofika kituoni Tumbi na kufungua mbele ya walalamikaji ambao walimdhamin

VIDEO-EWURA YAKEMEA UJENZI HOLELA WA VITUO VYA MAFUTA.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/13 February 2015 Mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA imekemea utaratibu wa baadhi ya halmashauri nchini kutoa kiholela vibali vya kujenga vituo vya mafuta kinyume na matakwa ya mamlaka hiyo. Msemaji wa mamlaka hiyo,BW.TITUS KAGUO amemueleza mwandishi wa Habari hizi kuwa kuna baadhi ya halmashauri zimekuwa zinatoa vibali vya kujenga vituo vya mafuta kiholela bila kuzingatia vigezo vinavyotolewa na EWURA. BW.KAGUO ameongeza baada ya halmashauri hizo kuvurunda ndipo mzigo unapoiangukia EWURA, Amesema hayo kufuatia hatua ya mwandishi wa Habari hizi kuhoji juu kuendelea kujengwa kwa vituo vya mafuta katika mji wa Kibaha, Kitu ambacho kilipigwa marufuku na Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Pwani, BIBI.AMINA MRISHO. Ambapo amefafanua kuwa kwa mfano kituo cha mafuta kipya cha LAKE OIL kilichojengwa maeneo ya Picha ya Ndege mjini Kibaha, ambacho tayari kimeshapokea order ya kusimamisha ujenzi lakini wakapuuza amri hiyo inayoambatana na faini ya shi

FEDHA INAPOPINDISHA SHERIA

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/13 February 2015 Mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA imekemea utaratibu wa baadhi ya halmashauri nchini kutoa kiholela vibali vya kujenga vituo vya mafuta kinyume na matakwa ya mamlaka hiyo. Msemaji wa mamlaka hiyo,BW.TITUS KAGUO amemueleza mwandishi wa Habari hizi kuwa kuna baadhi ya halmashauri zimekuwa zinatoa vibali vya kujenga vituo vya mafuta kiholela bila kuzingatia vigezo vinavyotolewa na EWURA. BW.KAGUO ameongeza baada ya halmashauri hizo kuvurunda ndipo mzigo unapoiangukia EWURA, Amesema hayo kufuatia hatua ya mwandishi wa Habari hizi kuhoji juu kuendelea kujengwa kwa vituo vya mafuta katika mji wa Kibaha, Kitu ambacho kilipigwa marufuku na Aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Pwani, BIBI.AMINA MRISHO. Ambapo amefafanua kuwa kwa mfano kituo cha mafuta kipya cha LAKE OIL kilichojengwa maeneo ya Picha ya Ndege mjini Kibaha, ambacho tayari kimeshapokea order ya kusimamisha ujenzi lakini wakapuuza amri hiyo inayoambatana na faini ya shili

VIDEO-JAMII YAASWA KUTHAMINI WATOTO YATIMA

Image
Ben Komba / Coast-Tanzania / 09/02/2015 10:59:31 AM Category I am charged to consider action, Conditions of Children living in difficult in order to inactivity OPPORTUNITIES FOR CHILDREN WITH PARENTS and non-PARENTS to education, and basic Needs. Member of the Central Committee of the party from the Coast region, BW.RUGEMALIRA RUTATINA Sa'id this while handing over aid to Children living in difficult circumstances in the Kibaha, In Which FIPA has been issued by the Savings and Credit group of LOVE. BW.RUGEMALIRA has Sa'id it is up to the community to put effective strategies to help Children WHO do not have support on various Issues in order to save Them from a wide range of global shocks only DUE to the LACK of supervision and while living Communities to know in detail the problem. And one who reads the messages to a group of Savings and borrowing of LOVE, BIBI.FATMA TEA Their Sa'id group to see the importance of Children living in difficult circumstances

VIDEO-FEDHA INAPOTUMIKA KUNUNUA HAKI.

Image
Ben Komba / Coast, Tanzania / Saturday, 9/2/2015 1:16:41 PM One mother Photos of birds resident in Kibaha BI.SALMA RASHID has found himself in serious trouble following a man who believed kumtunzia its area is injurious to his claim and document it. MRS   RASHID widow Salma mweenye three children katikam period he was faced with the problems of heart disease and were forced to return to their homes Makuyuni, Matombo Morogoro Region. As he continues to cure that her sister gave notice of the existence of one healer traditional areas the same that came out he could kumtibia his problem of heart kupeapea and kumfdahamisha name of the doctor that if BW.ALLY voluntary and tell that he can help his problem was. Throughout the treatment BIBI.SALMA RASHID came to believe in the healer voluntary and thus describe about him owning the scene and asked him when he is in Morogoro while his brother was considering his health then atupie eyes in his area to avoid invading other peop

JAMII YAPASWA KUSAIDIA WATOTO.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/2/9/2015 10:59:31 AM Jamii imeagizwa kuzingatia utunzaji wa watoto wanaoishi katika mazingira  magumu ili kuweza kuto fursa kwa watoto wenye wazazi na wasio na wazazi kupata elimu na mahitaji muhimu. Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM kutoka mkoa wa Pwani, BW.RUGEMALIRA RUTATINA amesema hayo wakati wa kukabidhi misaada kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika maeneo ya Kibaha, Kwa Mfipa ambao umetolewa na kikundi cha kuweka na kukopa cha UPENDO. BW.RUGEMALIRA amesema ni juu ya jamii kuweka mikakati madhubuti ya kuwasaidia watoto ambao hawana usaidizi katika masuala mbalimbali ili kuweza kuwaokoa na majanga mbalimbali ya kidunia kutokana tu, na kukosa usimamizi na ilihali wakiishi na jamii yenye kujua kwa undani tatizo hilo. Naye msoma risala wa kikundi cha Kuweka na kukopa cha UPENDO, BIBI.FATMA TEA amesema kikundi chao kwa kuona umuhimu wa watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwa makusudi walianzisha fungu kwa ajili ya kuwasaidia w

MAMBA TISHIO MTO RUVU-VIDEO

Image
Ben Komba / Coast-Tanzania / 08/02/2015 10:56:14 AM Crocodile stories continue attacking vijijiji Residents located along the Ruvu River has Become a Threat to the people WHO depend on the river for Agriculture and water DUE to be taken to be deprived of the beast. Chairman of the village of Ruvu Station Hammer BW.OMARY He Sa'id in Recent days there is one mother has be deprived ford Kihembahemba be deprived in the solid when he mashed her in the river, then immediately noticed there something ntries kumrukia frame to pull the river , BUT he managed to run without a significant effect. That has noted BW.KIDUNDA These crocodiles have been a Threat not only for the mans to livestock, especially goats and cows once They ENT to Drink water. He added That despite the Government's efforts to bring the animal masters try not rvesting has been difficult to find crocodiles kill Them Because They so do not read Waseem to make people believe That They have a Relationship

SUMATRA YAFANYA UKAGUZI MKUBWA VIDEO.

Image
Ben Komba / Coast-Tanzania / 08/02/2015 12:09:53 PM Regulatory Authorities usafarishaji Air Force and land-Sumatra-verification exercise has yanayosafirisha passenger cars in ensuring all maderva be Licensed to inspect vehicle life. SUMATRA spokesman, said the exercise Mziray BW.DAVID hhilo They drove together to the police in order not to impact what is best and in compliance with Laws and regulations have been and SUMATRA That shipment fully APPLIED. One of the procedures have been granted priority That Which motorists transporting Passengers violate Raising fares is always used by agents and thus deliberately Their exploits the Passengers. BW.MZIRAY has emphasized Inspections will continue to be carried out regularly in order to facilitate the reduction of impediments faced by TRAVELERS, particularly the Issue of raising fares arbitrarily to Citizens. END.

SUMATRA YAKAGUA MABASI YA ABIRIA

Ben Komba/Pwani-Tanzania/2/8/2015 12:09:53 PM Mamlaka ya udhibiti ya usafarishaji waangani na nchi kavu-SUMATRA-imefanya zoezi la ukaguzi magari yanayosafirisha abiria katika kuhakikisha maderva wote wanakuwa na leseni na kukagua uzima chombo cha usafiri. Msemaji wa SUMATRA, BW.DAVID MZIRAY amesema zoezi hhilo wameliendesha kwa pamoja na Jeshi la Polisi ili kuto matokeo yaliyo bora na katika kuhakikisha sheria na taratibu za usafirishaji ambazo zimewekwa na SUMATRA zinafuatwa kikamilifu. Moja ya taratibu ambazo zimepewa kipaumbele ambayo wenye magari ya kusafirisha abiria wanakiuka mara zote ni upandishaji wa nauli kunakofanywa na mawakala wao kwa makusudi na hivyo kumnyonya abiria. BW.MZIRAY amesisistiza ukaguzi huo utaendelea kufanyika mara kwa mara ili kuwezesha kupunguza kero wanazokumbana nazo wasafiri hususan suala hilo la kupandisha nauli kiholela kwa wananchi. END.

MAMBA TISHIO RUVU STESHENI

Ben Komba / Coast-Tanzania / 2/8/2015 10:56:14 AM Crocodile stories vijijiji continue attacking residents located along the Ruvu River has become a threat   to the people who depend on the river for agriculture and water due to be taken to be deprived of the beast. Chairman of the village of Ruvu Station BW.OMARY Hammer  He said in recent days there is one mother has be deprived be deprived in ford Kihembahemba when he washed the mango her in the river, then immediately noticed there was something tries kumrukia to pull the river, but he managed to run without significant effect. BW.KIDUNDA has noted that these crocodiles have been a threat not only for humans to livestock, especially goats and cows once they went to drink water. He added that despite the government's efforts to bring the animal masters try harvesting has been difficult to find because crocodiles   kill them so they do not seem to make some people believe that they have a relationship with superstit

WACHIMBA MCHANGA MJINI KIBAHA WALALAMIKA-VIDEO

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/2/6/2015 4:38:19 AM Wakazi wa mtaa wa Miyomboni katika halmashauri ya mji wa Kibaha wamejikuta katika wakati mgumu baada ya halmashauri kuwakabidhi wawekezaji wakubwa shughuli ya uchimbaji mchanga katika eneo lao na wao wakikosa shughuli ya kuwaingizia kipato. Mmoja wa wachimba mchanga ambaye nimebahatika kuongea naye, BW.NOEL KITIMBWISI amesema kuwa kwa muda mrefu wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakitumia machimbo hayo kama ajira binafsi na kuwawezesha kujikimu na changamoto mbalimbali za maisha. BW.KITIMBWISI ameitaka halmashauri ya mji kuangalia haki za wachimbaji wadogowadogo badaala ya kutotoa fursa kwa kundi hilo kubwa ambalo lina vijana wengi na kinamama ambao wamejiajiri katika sekta hiyo ya uchimbaji wa madini ya mchanga. Ambapo kinamama wanafaidika kwa kupika mamalishe na kujipatia riziki, lakini hali imebadilika toka mwekezaji huyo alipofika eneo hilo bila wao kushirikishwa na kuleta kijiko ambacho kwa njia moja au nyingie imeathiri

WANANCHI WAANDAMANA KUPNGA MWEKEZAJI MIYOMBONI MJINI KIBAHA

Ben Komba / Coast-Tanzania / 2/6/2015 4:38:19 AM Miyomboni local residents in the town council of Kibaha have found themselves in a difficult time after the council hand over big investors sand mining activities in their area and they have no income-generating activity. One of the sand miners who have fortunate to speak with him, BW.NOEL KITIMBWISI has said that for a long time residents of the area have been using the site as a private employment and subsistence enable various challenges of life. BW.KITIMBWISI has urged the city council to look right and artisans badaala of not paying great opportunity for the group which consists of many young people and women who are self-employed in the industry and the mining of sand. Where women are benefited by cooking mamalishe and livelihood, but the situation has changed from the investor when he came to the area without their participation and bring the spoon that in one way or tasks has impacted significantly the income of the

ANGALIA VIDEO - HATIMAYE ILE SHULE MBOVU YAANGUKA.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/2/3/2015 2:22:30 AM Hatimaye shule ya msingi Mailimoja ilyopo katikati ya halmashauri ya mji wa Kibaha hatimaye imeanguka kufuatia malalamiko ya muda mrefu ya walimu,wanafunzi na wazazi wa kutaka halmashauri ya mji wa Kibaha kuchukua hatua za haraka kunusuru majengo ya shule hiyo. Mwandishi wa Habari hizi amefika katika shule hiyo na kushuhudia paa la moja ya majengo ambalo limekuwa linatumika kwa ajili ya darasa kati ya madarasa manne ambayo wanatumia kati ya madarasa 11 na shule yenye wanafunzi 1080. Mwalimu mkuu wa shule hiyo, MWL.REGINALD FANUEL amesema hiyo ndiyo hali halisi ambayo ipo shuleni hapo na kwa sasa wanapanga mikakati ya kukabiliana na hali hiyo na wakitegemea halmashauri ya mji wa Kibaha kufanya makubwa zaidi katika kuhakikisha shule hiyo inakuwa eneo salama la kufundisha na kujifunzia. BW.FANUEL ameongeza mara baada ya kuanguka paa la jingo hilo ndipo Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Kibaha, BI.JENIFA OMOLO am

HATIMAYE SHULE INAYOONGOZA KWA UCHAKAVU HALMASHAURI YA MJI KIBAHA YAANGUKA.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/2/3/2015 2:22:30 AM Hatimaye shule ya msingi Mailimoja ilyopo katikati ya halmashauri ya mji wa Kibaha hatimaye imeanguka kufuatia malalamiko ya muda mrefu ya walimu,wanafunzi na wazazi wa kutaka halmashauri ya mji wa Kibaha kuchukua hatua za haraka kunusuru majengo ya shule hiyo. Mwandishi wa Habari hizi amefika katika shule hiyo na kushuhudia paa la moja ya majengo ambalo limekuwa linatumika kwa ajili ya darasa kati ya madarasa manne ambayo wanatumia kati ya madarasa 11 na shule yenye wanafunzi 1080. Mwalimu mkuu wa shule hiyo, MWL.REGINALD FANUEL amesema hiyo ndiyo hali halisi ambayo ipo shuleni hapo na kwa sasa wanapanga mikakati ya kukabiliana na hali hiyo na wakitegemea halmashauri ya mji wa Kibaha kufanya makubwa zaidi katika kuhakikisha shule hiyo inakuwa eneo salama la kufundisha na kujifunzia. BW.FANUEL ameongeza mara baada ya kuanguka paa la jingo hilo ndipo Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mji wa Kibaha, BI.JENIFA OMOLO amez