Posts

Showing posts from August, 2016

USHIRIKIANO WA WANANCHI UNAHITAJIKA KUPAMBANA NA UHALIFU

Ben Komba/Pwani-Tanzania/30/08/2016 13:10:17 Kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Pwani imefanya kikao na kamati ya amani ya viongozi wa dini kutathmini hali ya kukosekana kwa amani kunakosababishwa na majambazi ambao wamejichimbia katika wilaya za Mkuranga na Rufiji. Mkuu wa mkoa wa Pwani, MHANDISI EVARIST NDIKILO amesema kuwa mapambano yanaendelea mpaka sasa katika kuhakikisha wanafuta kabisa mtandao huo wa ujambazi ambao umekuwa kitisho kikubwa kwa amani na usalama wa wananchi. BW.NDIKILO amesema kuwa ni juu ya jamii kutoa ushirikiano kwa vyombo vya usalama katika kusaidiana kwenye udhibiti wa vitendo vya uhalifu na hasa ikizingatiwa wanaofanya hivyo ni ndugu zetu au majirani zetu. Ametoa mfano wa kijana Fundi seremala ambaye alimuua Mwenyekiti wa kijiji cha PANZUA ambaye aliishi katika kijiji hicho kwa takriban miaka 25, lakini kwa mshangao wa wengi alichukua hatua ya kumuua mwenyekiti wa kijiji. Aidha ametumia fursa hiyo kutoa onyo kuhusiana na maandamano y

USHIRIKA SOKONI MAILIMOJA KIBAHA WATAKIWA KUPENDANA

Image

AKINA AKILIMALI WADHIBITIWE

Image

DAWA ZA ASILI ZIPEWE KIPAUMBELE

Image

WAKAZI WALALAMIKIA TUME

Image

HATIMAYE DARAJA KUPATIKANA

Image

WANANCHI KANDO YA BARABARA KUU YA MOROGORO WAHIMIZWA KUHAMA

Image

MAJAMBAZI YAUA MTEJA AKINUNUA VOCHA

Image

MAJAMBAZI YAUA MTEJA AKINUNUA VOCHA

Image

MAJAMBAZI YAUA MTEJA AKINUNUA VOCHA

Image

MUME WA MAREHEMU

Image

MUME WA MAREHEMU

Image

MAJAMBAZI YAUA MTEJA AKINUNUA VOCHA

Image

MKWE WA MAREHEMU

Image

MWENYEKITI SERIKALI YA MTAA KARABAKA

Image

FATHERHOUSE CORNER STUDIO

Image

MAJAMBAZI YAUA MTEJA WA VOCHA

Image

MAJAMBAZI YAUA MTEJA WA VOCHA

Image

MAJAMBAZI YAUA MTEJA WA VOCHA

Image

WATANZANIA WATAKIWA KUBADILI MTINDO WA MAISHA KUEPUKA MAGONJWA

Image

RAIS ATAKIWA KUPITIA MAAZIMIO YA KIMATAIFA KABLA YA KUTOA MAAGIZO

Image

RAIS ATAKIWA KUPITIA MAAZIMIO YA KIMATAIFA KABLA YA KUTOA MAAGIZO

Image