Posts

Showing posts from January, 2018

UFUMBUZI WA TATIZO LA BAWASIRI

UKOMBOZI WA KWELI WA TATIZO LA BAWASIRI FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU ~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe ~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika kama piles ~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50 AINA ZA BAWASIRI ~Kuna Aina mbili za bawasiri (A) BAWASIRI YA NDANI ~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji

MSIMU WA KILIMO 2018/2019 WAZINDULIWA

Image

MSIMU WA KILIMO 2018/2019 WAZINDULIWA

Image

TANESCO PWANI LAWAMANI KWA UZEMBE

Image

WANANCHI WATAKIWA KUIMARISHA ULINZI SHIRIKISHI

WANANCHI WATAKIWA KUIMARISHA ULINZI SHIRIKISHI KIBAHA. Ben Komba/Pwani-Tanzania/Saturday, 06 January 2018 Wananchi wametakiwa kudumisha dhana ya ulinzi shirikishi katika maeneo yao ili kupambana na vitendo vya uhalifu mjini Kibaha. Hayo yamezungumzwa na Mrakibu msaidizi wa Jeshi la Polisi ERNEST SHALUWA, alipozungumza na wakazi wa mtaa wa mkoani katika halmashauri ya mji wa Kibaha ambapo amesema kwa kutumia ulinzi shirikishi kutasaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa vitendo vya uhalifu katika maeneo yao. Afande SHALUWA amewaagiza wakazi wa mtaa wa mkoani kuwatambua vijana watakaokuwa tayari kushiri katika suala la ulinzi shirikishi ili waweze kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kupambana na uhalifu, aidha amewataka wakazi hao kuwa na utamaduni wa kupeana namba za simu ili kurahisisha mawasiliano linapotokea tukio la uhalifu katika maeneo yao. Naye mkazi WILLIAM SHAYO akisoma taarifa ya wakazi hao kuhusiana na matukio ya uhalifu katika mtaa wa

AGIZO LA WAZIRI LAPUUZWA

Image

AGIZO LA WAZIRI LAPUUZWA

Image