Posts

Showing posts from July, 2015

VIDEO-WANAWAKE WAGWAYA KUGOMBEA MAJIMBONI WAKIMBILIA VITI MAALUM.

Image
Ben Komba/Pwani-Kibaha/7/24/2015 12:02:11 PM Hali ya wanawake kuwa nyuma katika kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uwakilishi imejitokeza kwa kiasi kikubwa katika mchakato wa kuwatafuta wagombea ambao watawakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu. Kati ya wagombea wa nafasi ya udiwani kata ya Tumbi mjini Kibaha, Angalau mwanamama NURU MSADALA MAGEGE ameamua kujitokeza kupambana kuhakikisha ile asilimia hamsini kwa hamsini ya uwakilishi inafikiwa. BIBI.NURU MSADALA MAGEGE ambaye alikuwa kivutio kwa wana ccm ambao wamehudhuria mkutano huo, kwa kuweza kujieleza kwa ufasaha akiwa ni mwanamke pekee kati ya wagombea wanane ambao wote ni wanaume. Amewaahidi wana CCM ambao wamehudhuria mkutano huo wa kampeni za ndani kwa ndani za chama katika Kata ya Tumbi, Tarafa ya Kibaha mjini Kibaha kuwa atahakikisha anasimamia majukumu yake ya kuwakilisha wananchi kwa uaminifu mkubwa ili kuweza kuwaletea maendeleo endelevu wan

WAKINANAMAMA WAPATA HOFU KUGOMBEA,WANGOJEA VITI MAALUM

Ben Komba/Pwani-Kibaha/7/24/2015 12:02:11 PM Hali ya wanawake kuwa nyuma katika kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uwakilishi imejitokeza kwa kiasi kikubwa katika mchakato wa kuwatafuta wagombea ambao watawakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu. Kati ya wagombea wa nafasi ya udiwani kata ya Tumbi mjini Kibaha, Angalau mwanamama NURU MSADALA MAGEGE ameamua kujitokeza kupambana kuhakikisha ile asilimia hamsini kwa hamsini ya uwakilishi inafikiwa. BIBI.NURU MSADALA MAGEGE ambaye alikuwa kivutio kwa wana ccm ambao wamehudhuria mkutano huo, kwa kuweza kujieleza kwa ufasaha akiwa ni mwanamke pekee kati ya wagombea wanane ambao wote ni wanaume. Amewaahidi wana CCM ambao wamehudhuria mkutano huo wa kampeni za ndani kwa ndani za chama katika Kata ya Tumbi, Tarafa ya Kibaha mjini Kibaha kuwa atahakikisha anasimamia majukumu yake ya kuwakilisha wananchi kwa uaminifu mkubwa ili kuweza kuwaletea maendeleo endelevu wananchi.

VIDEO-MAGAIDI WASAMBARATISHWA PWANI.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/7/21/2015 12:24:57 PM Jeshi la Polisi mkoani Pwani limewakamata wahalifu 25 na silaha mbalimbali ambazo zinasadikiwa kufanya vitendo vya kihalifu katika maeneo mbalimbali nchini. Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Mrakibu mwandamizi msaidizi wa Polisi,JAAFAR IBRAHIM akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake mjini Kibaha amesema mafanikio hayo yamefuatia operesheni maalum inayoendelea mkoani hapa. Kamanda JAAFAR  amefafanua kuwa operesheni imefanyika kati ya Juni 20 mpaka Julai 20, ambapo katika kipindi hicho silaha ya SMG no.14302621,risasi 30 za SMG ndani ya magazine,visu 11,mapanga 4, majambia 3,risasi 20 za SMG, risasi 103  za shortgun, Bomu la kienyeji 3,vipande vidogo vya nondo 42, fyuzi zilizotegwa 24 na fyuzi zilizo tupu 56. Kamanda JAAFAR amefafanua kuwa mafanikio hayo yamepatikana kufuatia ushirikiano mkubwa kutoka kwa jamii na kusaidia kwa kiasi kikubwa kuwakamata wahalifu hao. END

MAGAIDI YASAMBARATISHWA PWANI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/7/21/2015 12:24:57 PM Jeshi la Polisi mkoani Pwani limewakamata wahalifu 25 na silaha mbalimbali ambazo zinasadikiwa kufanya vitendo vya kihalifu katika maeneo mbalimbali nchini. Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani Mrakibu mwandamizi msaidizi wa Polisi,JAAFAR IBRAHIM akizungumza na waandishi wa Habari ofisini kwake mjini Kibaha amesema mafanikio hayo yamefuatia operesheni maalum inayoendelea mkoani hapa. Kamanda JAAFAR  amefafanua kuwa operesheni imefanyika kati ya Juni 20 mpaka Julai 20, ambapo katika kipindi hicho silaha ya SMG no.14302621,risasi 30 za SMG ndani ya magazine,visu 11,mapanga 4, majambia 3,risasi 20 za SMG, risasi 103  za shortgun, Bomu la kienyeji 3,vipande vidogo vya nondo 42, fyuzi zilizotegwa 24 na fyuzi zilizo tupu 56. Kamanda JAAFAR amefafanua kuwa mafanikio hayo yamepatikana kufuatia ushirikiano mkubwa kutoka kwa jamii na kusaidia kwa kiasi kikubwa kuwakamata wahalifu hao.

VIDEO-MNEC KIBAHA MJINI ACHUKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/7/15/2015 11:19:52 AM Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Ya Taifa Ya chama cha Mapinduzi kutoka Jimbo la uchaguzi Kibaha mjini, BW.RUGEMALIRA RUTATINA ametangaza rasmi kuwania kiti hicho cha ubunge ikiwa ni katika suala zima la kuwaletea wana Kibaha maendeleo. Akitangaza nia hiyo mbele ya maelfu ya wakazi wa Kibaha katika tukio nadra sana kuvuta watu kutoka maeneo mbalimbali ya mji huu, BW.RUTATINA amesema kuwa yeye hana fedha za kugawa kama njugu lakini anazo mbinu za kumkomboa mwananchi wa kawaida kutoka katika lindi la umaskini. BW.RUTATINA amewataka Watanzania hususan wakazi wa Kibaha kutokubali kununuliwa kwa jinsi yoyote ile ili kuepuka kuwekwa mfukoni mwa watu kwa kupewa shilingi 50000 kwa ajili ya kumchagua mtu kwa miaka mitano ya uwakilishi. Mbunge huyo hakusita kuelezea shukrani zake kwa wananchi kutokana na kujitokeza kwa wingi kuja kushuhudia akitangaza nia pamoja na juhudi mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya watu katika chama kuzuia vio

MNEC ATANGAZA KUGOMBEA UBUNGE KIBAHA MJINI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/7/15/2015 11:19:52 AM Mjumbe Wa Halmashauri Kuu Ya Taifa Ya chama cha Mapinduzi kutoka Jimbo la uchaguzi Kibaha mjini, BW.RUGEMALIRA RUTATINA ametangaza rasmi kuwania kiti hicho cha ubunge ikiwa ni katika suala zima la kuwaletea wana Kibaha maendeleo. Akitangaza nia hiyo mbele ya maelfu ya wakazi wa Kibaha katika tukio nadra sana kuvuta watu kutoka maeneo mbalimbali ya mji huu, BW.RUTATINA amesema kuwa yeye hana fedha za kugawa kama njugu lakini anazo mbinu za kumkomboa mwananchi wa kawaida kutoka katika lindi la umaskini. BW.RUTATINA amewataka Watanzania hususan wakazi wa Kibaha kutokubali kununuliwa kwa jinsi yoyote ile ili kuepuka kuwekwa mfukoni mwa watu kwa kupewa shilingi 50000 kwa ajili ya kumchagua mtu kwa miaka mitano ya uwakilishi. Mbunge huyo hakusita kuelezea shukrani zake kwa wananchi kutokana na kujitokeza kwa wingi kuja kushuhudia akitangaza nia pamoja na juhudi mbalimbali zilizofanywa na baadhi ya watu katika chama kuzuia vio

VIDEO-MWENYEKITI WA UVCCM KIBAHA MJINI AJITOSA KIBAHA MJINI.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/7/10/2015 7:14:19 AM Katika hatua inayoashiria kuwa uchaguzi wa mwaka huu utatawaliwa na wagombea vijana kutokana  na watu wa rika hilo kuzindukana kutoka katika usingizi mzito na kuamua kushiriki siasa kikamilifu. Mara hii Mwenyekiti wa UVCCM halmashauri ya mji wa Kibaha, BW.IDD KANYALU ametangaza rasmi nia ya kugombea nafasi hiyo kupitia chama hicho katika kata ya Kongowe ambayo nafasi hiyo ilikuwa inashikiliwa na BW.SLUM BAGMESH. BW.KANYALU akitangaza nia amewaahidi wananchi wa Kata ya Kongowe iwapo atabahatika kuteuliwa na chama chake kugombea udiwani katika kata hiyo, atashirikiana nao kwa hali na mali kuboresha hali ya mambo. END. 

VIDEO-WANANCHI WALALALMIKIA SERIKALI KUWAUNGA MKONO WAVAMIZI WA ARDHI.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/7/9/2015 1:19:31 PM Wananchi wa mtaa wa Kiluvya A,kata ya Kiluvya tarafa ya Sungwi wilayani Kisarawe mkoa wa Pwani wametaka vyombo vinavyohusika na utoaji haki wa kisheria kushugulikia mgogoro wa ardhi yenye ukubwa wa heka 338 walizoporwa na wanaodaiwa wawekezaji. Mmoja wa wakazi wa Kiluvya, BW.ABUBAKAR YUSSUPH amesema kama wamiliki wa maeneo yaliyovamiwa ambao mpaka sasa wamekuwa wakizungushwa pamoja na suala hilo kupelekwa kwenye vyombo vya sheria. BW.YUSSUPH ameeleza kutoridhishwa na mwenendo wa kesi ya kuporwa ardhi na uongozi wa kijiji na kupewa mabepari, kwa njia ya kughushi nyaraka na kilio cha kikubwa ni Polisi kuchelewesha kupeleka vielelezo kwa mwendesha Mashtaka wa serikali kanda ya Pwani. BW.YUSSUPH amefafanua kuwa kesi hiyo imedhoofishwa kwa makusudi ili kutoa fursa kwa wavamizi kuchukua eneo hilo ambao idadi yao ni 15 na wanababaisha watu 250 na mamlaka husika zinajua kuhusiana na hilo. Naye mkazi wa Mtaa wa Kiluvya, BIBI.A

WAKAZI KISARAWE WALALAMIKIA KUPORWA ARDHI NA WAVAMIZI WANAOSHIRIKIANA NA VIONGOZI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/7/9/2015 1:19:31 PM Wananchi wa mtaa wa Kiluvya A,kata ya Kiluvya tarafa ya Sungwi wilayani Kisarawe mkoa wa Pwani wametaka vyombo vinavyohusika na utoaji haki wa kisheria kushugulikia mgogoro wa ardhi yenye ukubwa wa heka 338 walizoporwa na wanaodaiwa wawekezaji. Mmoja wa wakazi wa Kiluvya, BW.ABUBAKAR YUSSUPH amesema kama wamiliki wa maeneo yaliyovamiwa ambao mpaka sasa wamekuwa wakizungushwa pamoja na suala hilo kupelekwa kwenye vyombo vya sheria. BW.YUSSUPH ameeleza kutoridhishwa na mwenendo wa kesi ya kuporwa ardhi na uongozi wa kijiji na kupewa mabepari, kwa njia ya kughushi nyaraka na kilio cha kikubwa ni Polisi kuchelewesha kupeleka vielelezo kwa mwendesha Mashtaka wa serikali kanda ya Pwani. BW.YUSSUPH amefafanua kuwa kesi hiyo imedhoofishwa kwa makusudi ili kutoa fursa kwa wavamizi kuchukua eneo hilo ambao idadi yao ni 15 na wanababaisha watu 250 na mamlaka husika zinajua kuhusiana na hilo. Naye mkazi wa Mtaa wa Kiluvya, BIBI.ALF

VIDEO-WAJASIRIAMALI WA NDANI WAATAMIWE VYEMA ILI KULETA MAENDELEO.

Image
Ben Komba/Pwani-Tanzania/3-7-2015 Wananchi wametakiwa kuwa makini katika kuhakikisha nchi inafikia malengo ya maendeleo endelevu ili kujikwamua na changamoto mbalimbali za kimaisha zinazowakabili hususan ya kiuchumi. Mwezeshaji kutoka shirika lisilo la kiserikali la -YPC-YOUTH PARTNERSHIP COUNTRYWIDE ambalo limeandaa semina hiyo kwa kushirikiana na ACTION AID , BW.SAMUEL STANLEY amesema lengo la Semina hiyo ni kuutambulisha mradi wa ViVA yaani sauti za vijana kwenye uwajibikaji. BW.STANLEY amesema kupitia mradi huo wanategemea kuwajengea uwezo vijana na wananchi kwa ujumla kutambua nafasi yao katika kuchoche uwajibikaji katika vijiji na vitongoji, pamoja na taasisi zao ilikuleta maendeleo endelevu ikiwa pamoja na kuwashawishi wananchi kushiriki katika michakato ya maendeleo na kuchochea ufanisi na utendaji wa serikali za mitaa. Mwezeshajihuyo, BW.SAMUEL STANLEY amesema mradi huo unategemea uwajibikaji kutoka pande zote mbili,yaani wananchi na viongozi wao ili kuleta

SERIKALI YATAKIWA KUWAJENGEA UWEZO WAJASIRIAMALI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/3-7-2015 Wananchi wametakiwa kuwa makini katika kuhakikisha nchi inafikia malengo ya maendeleo endelevu ili kujikwamua na changamoto mbalimbali za kimaisha zinazowakabili hususan ya kiuchumi. Mwezeshaji kutoka shirika lisilo la kiserikali la -YPC-YOUTH PARTNERSHIP COUNTRYWIDE ambalo limeandaa semina hiyo kwa kushirikiana na ACTION AID , BW.SAMUEL STANLEY amesema lengo la Semina hiyo ni kuutambulisha mradi wa ViVA yaani sauti za vijana kwenye uwajibikaji. BW.STANLEY amesema kupitia mradi huo wanategemea kuwajengea uwezo vijana na wananchi kwa ujumla kutambua nafasi yao katika kuchoche uwajibikaji katika vijiji na vitongoji, pamoja na taasisi zao ilikuleta maendeleo endelevu ikiwa pamoja na kuwashawishi wananchi kushiriki katika michakato ya maendeleo na kuchochea ufanisi na utendaji wa serikali za mitaa. Mwezeshajihuyo, BW.SAMUEL STANLEY amesema mradi huo unategemea uwajibikaji kutoka pande zote mbili,yaani wananchi na viongozi wao ili kuleta ufa

SERIKALI YATAKIWA KUWAJENGEA UWEZO WAJASIRIAMALI.

Ben Komba/Pwani-Tanzania/3-7-2015 Wananchi wametakiwa kuwa makini katika kuhakikisha nchi inafikia malengo ya maendeleo endelevu ili kujikwamua na changamoto mbalimbali za kimaisha zinazowakabili hususan ya kiuchumi. Mwezeshaji kutoka shirika lisilo la kiserikali la -YPC-YOUTH PARTNERSHIP COUNTRYWIDE ambalo limeandaa semina hiyo kwa kushirikiana na ACTION AID , BW.SAMUEL STANLEY amesema lengo la Semina hiyo ni kuutambulisha mradi wa ViVA yaani sauti za vijana kwenye uwajibikaji. BW.STANLEY amesema kupitia mradi huo wanategemea kuwajengea uwezo vijana na wananchi kwa ujumla kutambua nafasi yao katika kuchoche uwajibikaji katika vijiji na vitongoji, pamoja na taasisi zao ilikuleta maendeleo endelevu ikiwa pamoja na kuwashawishi wananchi kushiriki katika michakato ya maendeleo na kuchochea ufanisi na utendaji wa serikali za mitaa. Mwezeshajihuyo, BW.SAMUEL STANLEY amesema mradi huo unategemea uwajibikaji kutoka pande zote mbili,yaani wananchi na viongozi wao ili kuleta ufa