Posts

Showing posts from April, 2014

MADHARA YA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA-VIDEO

Image
Ben Komba-Pwani-Tanzania-25=4-2014 Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini, maiti tano zimepatikana zikielea katika Mto Mpiji kufuatia kusombwa na maji walipokuwa wanajaribu kuvuka daraja linalounganisha kati ya wilaya ya Kinondoni na halmashauri ya mji wa Kibaha. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa   wa Lumumba, BW.GIDEON TAIRO amethibitisha kuwatambua marehemu hao ambao ni BW.JAJI MNEMWA na BW.MUSHI ambao walikuwa wanafanya shughuli zao za uzalishaji mjini Dar es Saalam na ni wakazi wa eneo lake. BW.TAIRO ameongeza kuwa kwa kupatikana kwa miili kumesababisha idadi ya waliokufa na maji katika mto Mpiji kufikia watano, wane wakiwa wanaume na mmoja mwanamke. BW.TAIRO amebainisha kuwa kwa muda mrefu wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakiomba kujengwa kwa daraja la kudumu katika eneo hilo ili liweze kupitika kipindi chote cha mwaka na hasa ikizingatiwa linatumika na watu wa kada mbalimbali katika jamii, hususan wanafunzi, wazee na kinamama wajawazito. Naye Katibu wa CC

WAFANYABIASHARA WA MAZAO YA MISITU WANATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO MALIASILI-VIDEO

Image
Ben Komba/Pwani Tanzania/25-4-2014 Mtandao wa wasafirishaji na wafanyabiashara Kibaha MWAMMIKI wametakiwa kushirikiana na Idara ya maliasili, katika kuhakikisha wanafanya shughuli zao bila kuingiliwa na watu wanaojifanya ni wakazi wa idara hiyo. Meneja wa misitu kanda ya mashariki inayojumuisha mkoa wa Morogoro na Pwani, BW.BAKAR SALIM MOHAMED amesema ni juu ya wafanyabiashara wa mazo ya misitu kutoa ushirikiano stahili kwa idara ya maliasili ili kuwezas kuwabana watu wanaojitishwa dhamana hiyo kinyume na sheria. BW.MOHAMED amebainisha kuwa kumekuwepo na baadhi ya watumishi wa idara hiyo na baadhi ya maaskari kutumia doria zinazoendeshwa na maliasili kwa maslahi binafsi, kiasi cha kuwasumbua hata baadhi ya wafanyabiashara wenye vibali kwa kuwababaisha kwa lengo la kutaka kupewa kitu kidogo. Meneja huyo wa misitu kanfda ya mashariki, BW.BAKAR MOHAMED amewataka wafanyabiashara hao kuwasiliana na maliasili inapotokea kukamatwa katika mazingira tatanishi,ili kuweza

WAFANYABIASHARA WA MAZAO YA MISITU WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA MALIASILI

Ben Komba/Pwani Tanzania/25-4-2014 Mtandao wa wasafirishaji na wafanyabiashara Kibaha MWAMMIKI wametakiwa kushirikiana na Idara ya maliasili, katika kuhakikisha wanafanya shughuli zao bila kuingiliwa na watu wanaojifanya ni wakazi wa idara hiyo. Meneja wa misitu kanda ya mashariki inayojumuisha mkoa wa Morogoro na Pwani, BW.BAKAR SALIM MOHAMED amesema ni juu ya wafanyabiashara wa mazo ya misitu kutoa ushirikiano stahili kwa idara ya maliasili ili kuwezas kuwabana watu wanaojitishwa dhamana hiyo kinyume na sheria. BW.MOHAMED amebainisha kuwa kumekuwepo na baadhi ya watumishi wa idara hiyo na baadhi ya maaskari kutumia doria zinazoendeshwa na maliasili kwa maslahi binafsi, kiasi cha kuwasumbua hata baadhi ya wafanyabiashara wenye vibali kwa kuwababaisha kwa lengo la kutaka kupewa kitu kidogo. Meneja huyo wa misitu kanfda ya mashariki, BW.BAKAR MOHAMED amewataka wafanyabiashara hao kuwasiliana na maliasili inapotokea kukamatwa katika mazingira tatanishi,ili kuweza ku

MVUA YASABABISHA MAJANGA DSM NA PWANI.

Ben Komba-Pwani-Tanzania-25=4-2014 Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini, maiti tano zimepatikana zikielea katika Mto Mpiji kufuatia kusombwa na maji walipokuwa wanajaribu kuvuka daraja linalounganisha kati ya wilaya ya Kinondoni na halmashauri ya mji wa Kibaha. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa   wa Lumumba, BW.GIDEON TAIRO amethibitisha kuwatambua marehemu hao ambao ni BW.JAJI MNEMWA na BW.MUSHI ambao walikuwa wanafanya shughuli zao za uzalishaji mjini Dar es Saalam na ni wakazi wa eneo lake. BW.TAIRO ameongeza kuwa kwa kupatikana kwa miili kumesababisha idadi ya waliokufa na maji katika mto Mpiji kufikia watano, wane wakiwa wanaume na mmoja mwanamke. BW.TAIRO amebainisha kuwa kwa muda mrefu wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakiomba kujengwa kwa daraja la kudumu katika eneo hilo ili liweze kupitika kipindi chote cha mwaka na hasa ikizingatiwa linatumika na watu wa kada mbalimbali katika jamii, hususan wanafunzi, wazee na kinamama wajawazito. Naye Katibu wa CCM
59342vhlqw4e@youtube.com