MAFUNZO YA UREFA


Ben Komba/Pwani-Tanzania/23-07-2013/10:03

Chama cha marefa wilayani Kibaha kinaendesha program maalum ya mafunzo kwa marefa wapya wenye kutaka kujiendeleza kuwa waamuzi katika ngazi mbalimbali za ligi za mchezo huo.

Katibu wa Chama cha marefa wilayani Kibaha ambaye pia ndio refa bora wa ligi ya VODACOM msimu uliopita BW.SIMON MBELWA amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwezesha kuzalisha marefa wapya.

BW.MBELWA amefafanua kuwa katika mambo ambayo yatazingatiwa katika mafunzo hayo ni ufundishaji wa sheria 17 za soka ambazo kila mwamuzi anapaswa kuzifahamu kwa ufasaha ili kuepusha malalamiko na wakati mwingine hata vurugu katika mchezo huo.

Naye mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo, BW. GEORGE amesema kwa kupatiwa mafunzo hayo kutawasaidia kufanya maamuzi yaliyo sahihi wakati wakichezesha mechi za michuano mbalimbali.

END.

Comments

  1. Hello nahitaji kuwa mwamuzi wa mchezo wa mpira wa miguu 0687176395

    ReplyDelete
  2. Nahitaji kuwa refa wa mpira wa miguu,nahitaji ufafanuz,kwa taaluma ni mwalimu wa lugha ya kiingereza namba 0717272665 whatsap kwa maelezo zaid,nahitaji kujua Qaulities en the utaratibu wa kuanza.




    ReplyDelete
  3. Nataka kuchukua coz ya urefa je taratibu zinakuwaje ili niweze kufanikisha hilo

    ReplyDelete
  4. Nahitaji kuwa refa wa mpira wa miguu ninachoomba kufahamu nikwamba utaratibu upoje an kwa kuweza kupata hiyo nafasi namba angu ya cm Ni 0765860325

    ReplyDelete
  5. Nahitaji kozi ya urefaa ,, japo Kwa sas ni refa wa timu za mchangani ,, na mwaka jana nilipewa tuzo ya refa Bora na mwaka huu pia nimechkua Kwa mara nyingine.. nahitaji kuendeleza Kipaji change,, kutoka manyara 0627272466 whatsapp

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

WANANCHI KIDIMU WAPINGA HATUA YA MKURUGENZI WA MJI KIBAHA.