Bernard Komba
VURUGU ZA ZANZIBAR.
Nachukizwa na baadhi ya wanasiasa na wapemba sijui waunguja kujifanya vurugu zilizotokea ni kwa minajili ya kisiasa, watu waina hiyo ndio wanaovundika mgogoro unaokuzwa na baadhi ya wanasiasa maarufu kutaka kututumbukiza katika vurugu za kidini.
Watu wanaofanya vitendo hivyo wanafahaimika kwani wameanzxisha redio na magazeti kana kwamba wapo vitani wakiendesha propaganda za c...huki, lakini serikali imekuwa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote ikitegemea upole wa upande mwingine unaonyanyasika.
Kwa kweli kwa mtaji ule ulioonyeshwa Visiwani na unaotaka kuonyeshwa tarehe 26, hakuna sababu yyoyote ya msingi ya kuendelea na muungano huu na tuache utabiri wa Mwalimu Nyerere utimie kwani hakuna utabiri usiotoa matokeo na alibainisha chokochoko kubwa itakuwa ni udini kutokana na serikali ya awamu ile kuiingiza Tanzania katika OIC.
Hakuna kitu kitakachoweza kuzuia kuvunjika kwa muungano, vinginevyo ni matatizo kwa Tanganyika ambao wanalinganishwa na Watwana na wale watumwa wa Visiwani ambao kwa nguvu zote wamnalilia haki yao ya kuwa watumwa tena kwani hawakuwahi kushuhudia madhila yake. na kwa kuanzia nawaomba watani wangu wanyakyusaa Watanganyika wa ukwelio kuanza utaratibu wa kuwafukuza utamaduni wao wa kibaguzi.
UKWELI NI KWAMBA NI CHUKI ZA KIDINI.
Tuwaruhusu waende chondechonde kwwawani ni najisi kwa amani ya Taganyika.
ADHA YA MAJI BAGAMOYO.
ADHA YA MAJI KIJIJI CHA GONGO KATA YA MKANGE JIMBO LA CHALINZE WILAYA YA BAGAMOYO PWANI Na John Gagarini, Mkange WANANCHI wa Kijiji cha Gongo kata ya Mkange wilayani Bagamoyo wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji ambapo huweka foleni ya kuchota maji kwenye kisima kilichopo kijijini hapo baada ya wiki mbili. Kutokana na usosefu huo wa maji wananchi hao wamekuwa wakinunua maji ya bomba ndoo ya lita 20 kati ya shilingi 1,000 na shilingi 1,500 maji ambayo huuzwa kwenye magari au pikipiki hivyo kuwafanya wajikute hawapati maendeleo kutokana na gharama kubwa kuzitumia kununulia maji. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ridhiwani Kikwete, kwenye kata ya Mkange mwananchi wa Kijiji hicho Hungilo Nyoka alisema kuwa maji yamewafanya washindwe kupata maendeleo. Nyoka alisema kila kaya inatakiwa ichote madumu manne ili angalau kila mmoja apate baada ya hapo maji hukatika ambapo in...
Comments
Post a Comment